Jimama moja hapa mjini kwetu limetokea kunipenda sana kimapenzi eti,,eti linasema nilikubalie kabla ya yote tukapime afya zetu ndo tunanii..jimama lenyewe pesa usiulize ni za kutosha, ili jimama umri wake miaka 39 mimi miaka 20 dah!.,ebu nisaidieni kwa ushauri.
wewe tena mbona fasta.......kwenye hili unatamani hilo ''zali'' likuangukie wewe......jiweke hapo weye!!!
kama hulitaki mpasie babumapunda anashida nalo.
kama kasema mkapime kwanza ujue huo ni mtego. Anajua lazima utakubal, ila huwez jua, pengne hayo ni masharti yake aliyopewa na mganga wake. Fuatilia vizur isije akawa anawatoa kafara vijana kama nyinyi.
wewe tena mbona fasta.......kwenye hili unatamani hilo ''zali'' likuangukie wewe......