Sylvester mpepi
Member
- Mar 3, 2018
- 48
- 9
ana three
Ahaa shukrani sana mkuuAnakwenda PCB na CBG kwa sababu ajazid point 10
Div III Point 24 Aende P.C.B??? Acha Utani MkuuAnakwenda PCB na CBG kwa sababu ajazid point 10
Jamaa kafafanua nawe fafanua kwanini asiende. Shule zipo nyingi unataka za serikali au private.Div III Point 24 Aende P.C.B??? Acha Utani Mkuu
Kivipi asiende mkuu mimi nimejibi kutokana na vigezo vyao mkuu sijajitungia kichwani mkuu kwani barua yao ipo kuhusu vigezo ,namba moja inasema awe na credit kuanzia masomo matatu kati ya saba lkn dini au mosomo mengine ya ziada yasiwe miongoni mwa hizo, mbili inasema awe na point 3 hadi 10 ktk mosomo matatu ya tahasusi Lkn F Isewe miongoni mwa hizo sasa kutokana na vigezo hivyo CCD ni point kumi .Hivyo sifa za kwenda kidato cha tano kusomea PCB anazoDiv III Point 24 Aende P.C.B??? Acha Utani Mkuu
Umejibu vizuri sana lakini hawezi kuchaguliwa post zikitoka, yeye aende tu private akajichagulie combination maana hana FKivipi asiende mkuu mimi nimejibi kutokana na vigezo vyao mkuu sijajitungia kichwani mkuu kwani barua yao ipo kuhusu vigezo ,namba moja inasema awe na credit kuanzia masomo matatu kati ya saba lkn dini au mosomo mengine ya ziada yasiwe miongoni mwa hizo, mbili inasema awe na point 3 hadi 10 ktk mosomo matatu ya tahasusi Lkn F Isewe miongoni mwa hizo sasa kutokana na vigezo hivyo CCD ni point kumi .Hivyo sifa za kwenda kidato cha tano kusomea PCB anazo
VP huyu mwenye, civ D, hist D, geo D, kisw D, eng C, phy F, b/math F, chem D, bio cKivipi asiende mkuu mimi nimejibi kutokana na vigezo vyao mkuu sijajitungia kichwani mkuu kwani barua yao ipo kuhusu vigezo ,namba moja inasema awe na credit kuanzia masomo matatu kati ya saba lkn dini au mosomo mengine ya ziada yasiwe miongoni mwa hizo, mbili inasema awe na point 3 hadi 10 ktk mosomo matatu ya tahasusi Lkn F Isewe miongoni mwa hizo sasa kutokana na vigezo hivyo CCD ni point kumi .Hivyo sifa za kwenda kidato cha tano kusomea PCB anazo
Kivipi na kwa nini asichaguliwe mkuu?Umejibu vizuri sana lakini hawezi kuchaguliwa post zikitoka, yeye aende tu private akajichagulie combination maana hana F
Kwa Private Anapata No DoubtJamaa kafafanua nawe fafanua kwanini asiende. Shule zipo nyingi unataka za serikali au private.
Private utapata kwa urahisi zaidi
Huyo advance asahau mkuu kama timu hata majimaji hawawezi kimsajili achague kozi itakayo mfaa aende chuo tu.Hivyo ndio ninavyojua mimi labda kama kuna wengine wanaelewa zaidi mambo hayo wanaweza kukusaidia mkuu.VP huyu mwenye, civ D, hist D, geo D, kisw D, eng C, phy F, b/math F
Mkuu Huyo Hana Sifa Ya Kwenda Advance, Chuo Inategemea Future YakeVP huyu mwenye, civ D, hist D, geo D, kisw D, eng C, phy F, b/math F, chem D, bio c
Comb gani au Chuo private anaweza kupata
Chuo gani na kozi ipiHuyo advance asahau mkuu kama timu hata majimaji hawawezi kimsajili achague kozi itakayo mfaa aende chuo tu
This has to be 4.26 i think,on government he/she won't be selected, but as for the private i he/she may get one.... Otherwise college will be the best...VP huyu mwenye, civ D, hist D, geo D, kisw D, eng C, phy F, b/math F, chem D, bio c
Comb gani au Chuo private anaweza kupata
Kivipi dogo yupo kwenye dilemmaMkuu Huyo Hana Sifa Ya Kwenda Advance, Chuo Inategemea Future Yake
Kabisa, na kama uwezo wa chuo, huyu anaweza kuwa hata mwizi... Kwanini apate F?Mkuu Huyo Hana Sifa Ya Kwenda Advance, Chuo Inategemea Future Yake
Yes, div 4.26.This has to be 4.26 i think,on government he/she won't be selected, but as for the private i he/she may get one.... Otherwise college will be the best...
Sent using Jamii Forums mobile app
Form five serekalin hapana, ila private anaweza kwendaYes, div 4.26.