scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 454
- 314
- Thread starter
- #41
Kweli mkuuShubaaaamit kajizalilishaaaa wakat anapendwa ye kaaribu daah ni tamaa tu ila nahc kajizi kasikunyingi ako
Kweli mkuuShubaaaamit kajizalilishaaaa wakat anapendwa ye kaaribu daah ni tamaa tu ila nahc kajizi kasikunyingi ako
NoAAAHAHAHA MCHAGA HUYO
Sawa mkuuUsisahau mrejesho
ha ha haaa,mi sijasema Jaykumbe na nyie huwa ni vibaka TY??
Hahaha lakini wapo??ha ha haaa,mi sijasema Jay
Utakuwa huna helaKama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Kuna binti ni mpenzi wangu tuna miezi 10 sasa toka tunapendana mpaka imefikia kuahidiana kujenga familia moja. Cha kusikitisha na kutia hasira mpaka naomba ushauri kabla sijachukua maamuzi magumu.
Leo kaniambia anakuja kunitembelea. Nikamkubalia na nikamtumia nauli kwani alieleza kuwa hakua na nauli ya kwenda na kurudi.
Baada ya kufika tukapika na kula na stori za hapa na kule pamoja na mambo ya kikubwa. Sasa ilipofika mida fulani tupo geto nikamwagiza mtoto wa jirani dukani kumbe msichana kaona wapi pesa ilikua, baada ya kutoka nje kwenda kumpokea dogo mzigo wangu kumbe msichana kachomoka na mkwanja mrefu na kuficha nyuma ya kava la simu.
Hapo baada ya kumaliza mishe zetu zote nikaamua nimsindikize stendi njiani pindi namkabidhi nauli na mkwanja wake wa kula nikaona minoti ya buku kumikumi nyuma ya simu, nimeshangaa sana japo sijamuuliza japo simu yake nilikua nayo mimi na sikuona pesa yoyote nyuma simu.
Baada ya kurudi geto nikamwambia nimekuta nimeibiwa akashangaa sana kunipa pole. Sasa na mimi nimemwambia hawa majirani watanikoma maana hata begi sijaligusa naenda kwa mganga. Mpaka sasa yupo ananitumia message eti niachane na imani hizo.
Binafsi imeniuma sana na huyu binti nampenda sana lakini kwa hichi nahisi kuchukua uamuzi mgumu kwa sababu sijawahi kumnyima pesa na ninamuhudumia kuliko maelezo.
Ushauri wenu jamani
Nawasilisha