Ushari: Binti ninaempenda sana kaniibia

Ushari: Binti ninaempenda sana kaniibia

Huo mkwanja mrefu hauwezi kukaa kwenye kava la simu mkuu usitufanye ni watoto

Huyo hajaiba ila amechukua sehemu ya malipo ya kilicho mleta hapo

Nakusikiliza maelezo ya upande mmoja tutashauri kitu ambacho hatukijui
 
Mkuu hela ni shetani.
Mashekhe na mapadre uvumilivu unawashinda mbele ya hela mvumilie tu. Na umwambie ukweli.

Kuna siku nilikuwa madrasa na ostadh wangu ananifundisha ghafla akatokea mwanafunzi akamletea hela. Ostadh akasahau aya aliyokuwa ananifundisha.
Akaanza kusema jaman jaman Nani huyu aliyetengeneza pesa zinatufanya tunasahau huku.
Kwa hyo hela usizioneshe ovyo.
 
Huo mkwanja mrefu hauwezi kukaa kwenye kava la simu mkuu usitufanye ni watoto

Huyo hajaiba ila amechukua sehemu ya malipo ya kilicho mleta hapo

Nakusikiliza maelezo ya upande mmoja tutashauri kitu ambacho hatukijui
Kweli lakini kumbuka mm n mpenzi wake na sinunue penzi kwake hio pesa ilikua ndefu asee kwa hali hii hata 30 ni pesa kubwa
 
Kweli lakini kumbuka mm n mpenzi wake na sinunue penzi kwake hio pesa ilikua ndefu asee kwa hali hii hata 30 ni pesa kubwa
Mkuu umenifanya nicheke japo wewe una maumivu

Swala la kwenda kwa mganga achana nalo

Mwite aje zungumza nae kwa utaratibu mwelekeze madhara ya kuiba na umjenge kisaikoroji atakwambia mwenyewe

Swala la kwenda kwa mganga utapoteza hela na mda bado jibu litabaki kuwa unatumia mda mrefu kutatua tatizo dogo ambalo halihitaji nguvu kulitatua
 
Sisi tuliiooa tunaibiwa kila siku
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Kuna binti ni mpenzi wangu tuna miezi 10 sasa toka tunapendana mpaka imefikia kuahidiana kujenga familia moja. Cha kusikitisha na kutia hasira mpaka naomba ushauri kabla sijachukua maamuzi magumu.

Leo kaniambia anakuja kunitembelea. Nikamkubalia na nikamtumia nauli kwani alieleza kuwa hakua na nauli ya kwenda na kurudi.

Baada ya kufika tukapika na kula na stori za hapa na kule pamoja na mambo ya kikubwa. Sasa ilipofika mida fulani tupo geto nikamwagiza mtoto wa jirani dukani kumbe msichana kaona wapi pesa ilikua, baada ya kutoka nje kwenda kumpokea dogo mzigo wangu kumbe msichana kachomoka na mkwanja mrefu na kuficha nyuma ya kava la simu.

Hapo baada ya kumaliza mishe zetu zote nikaamua nimsindikize stendi njiani pindi namkabidhi nauli na mkwanja wake wa kula nikaona minoti ya buku kumikumi nyuma ya simu, nimeshangaa sana japo sijamuuliza japo simu yake nilikua nayo mimi na sikuona pesa yoyote nyuma simu.

Baada ya kurudi geto nikamwambia nimekuta nimeibiwa akashangaa sana kunipa pole. Sasa na mimi nimemwambia hawa majirani watanikoma maana hata begi sijaligusa naenda kwa mganga. Mpaka sasa yupo ananitumia message eti niachane na imani hizo.

Binafsi imeniuma sana na huyu binti nampenda sana lakini kwa hichi nahisi kuchukua uamuzi mgumu kwa sababu sijawahi kumnyima pesa na ninamuhudumia kuliko maelezo.

Ushauri wenu jamani

Nawasilisha
Usisahau mrejesho
 
Unamuudumia mwanamke ambae hujamuoa,wewe kam nani sasa!!
 
Shubaaaamit kajizalilishaaaa wakat anapendwa ye kaaribu daah ni tamaa tu ila nahc kajizi kasikunyingi ako
 
Mwite mkae umuambie jinsi unampenda na umekwazika kwa alichokifanya. Ajue tu umejua. Mjulishe usingependa hilo litokee tena. Jua pia shetani yupo na kazi ya shetani ni kuharibu so inawezekana ni shetani anataka kuharibu mahusiano yenu. Ni makosa tu yanatokea ila mkanye
 
Mkuu umenifanya nicheke japo wewe una maumivu

Swala la kwenda kwa mganga achana nalo

Mwite aje zungumza nae kwa utaratibu mwelekeze madhara ya kuiba na umjenge kisaikoroji atakwambia mwenyewe

Swala la kwenda kwa mganga utapoteza hela na mda bado jibu litabaki kuwa unatumia mda mrefu kutatua tatizo dogo ambalo halihitaji nguvu kulitatua
Kwa mganga siez kwenda nlikua namtest niskie anasemaje
 
Back
Top Bottom