USHAMBA WA FIRST YEAR VYUONI

Fact
 
Ushamba unaendana na mwaka wenyewe historia inasema darasa letu yaani standard 1 ya 2005 we are smart. Kama ushamba mliufanya wewe na wenzako sio sisi we are best class in Tanzania.
Hayo majigambo yataisha tu...utakua mpole
 
Ngoja waje.. aliechaguliwa Ardhi wa kike lkn, aje PM nimuanzishie orientation
 
Ushamba unaendana na mwaka wenyewe historia inasema darasa letu yaani standard 1 ya 2005 we are smart. Kama ushamba mliufanya wewe na wenzako sio sisi we are best class in Tanzania.
This might be a silly class ever..... Data zako umetoa wapi dogo? Ubora wa Darasa lenu uko wapi? Mapanya tu nyie
 
 
Vijana mkazee,,,, maisha ya uchuo nikujituma tu izo mambo za kudisco huwa ni uzembe tu na kushobokea watu ambao sio wa aina yako
 
Exactly mkuu,darasa la dhahabu hili,mambo mengi huwa yanaanzia kwetu
Ushamba unaendana na mwaka wenyewe historia inasema darasa letu yaani standard 1 ya 2005 we are smart. Kama ushamba mliufanya wewe na wenzako sio sisi we are best class in Tanzania.
 
Hii umeongea kweli..kuna jamaa alikuwa anakuja lecture hall na raio(zile ndala za tairi wanazofaa maasai)
 
Karibuni hivi first year waliodahiliwa na kupata vyuo mbali mbali hapa tz na kule znz wataripoti. Ila mara nyingi huwa na shobo nyingi sana wawapo vyuoni.
Tunakukumbusheni kuwa mkae mkijua huku kuna CARRY NA KUDISCO so kuweni makini
Kuna watu wanawaambia chuoni bata
 
Chuo kikuu ishu kubwa ni kuishiwa pesa mfukoni hapo ndo utajua dunia ni tambala bovu... Kudisco na kusapu ni sehemu ya maisha ya Chuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…