Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 4,045
- 3,603
chukua maelezo weka ktk AI watakuonesha njia ya kukswasha tumia hata AI ya whatsappNimepita kariakoo jamaa kaniuzia haka ka dubwasha ka kunyolea....kna charge yake.
Tatizo ni sioni sehemu ya ku switch on
Sehemu ipi hiyoGeuza nyma hapo kuna alama ya power button.
Weka picha video mizinguoSehemu ipi hiyo
Nimecheka sana...ila asante sana...mimi nilikuwa nafikiri hicho ni cha kuonyesha kama charge imejaa ama la...imewaka...dahKibonyeze hicho kibataniView attachment 3527285