Kitu chochote cha dini kikisha involve wana sayansi huwa nakipotezea, wanasayansi hawaamini mungu and ibdont chose to believe their research.
Yale yale ya mtu alikuwa sokwe, mbona siku hizi masokwe hawawi watu? Uongo mtupu.
Kitu chochote cha dini kikisha involve wana sayansi huwa nakipotezea, wanasayansi hawaamini mungu and ibdont chose to believe their research.
Yale yale ya mtu alikuwa sokwe, mbona siku hizi masokwe hawawi watu? Uongo mtupu.
Si kwamba hawaamini uwepo wa mungu bali ili wafanikishe(kama yote waliyokwisha fanya) huwalazimu kuuweka uwepo wa mungu kando(kuondoa hali ya kuhisi contradictions, mfano upasuaji wa moyo au ubongo,kumuongeza mtu damu! that are strange things sema tumezoea ndio tunaona eti ni sawa).mimi nilisoma masomo ya science,japo si mtu wa kuudhuria kanisani kivile,nilikuwa napatwa na hali ya contradictions,nikipatwa na hisia kali,au kusikia sauti,kupatwa imagination kwa kifupi nilikuwa confused kuhusu Science-GOD-Human.Siku hizi nasoma masomo ya biashara maisha yanaenda vyema,sipati depression(wana science huwasumbua sana).