Wazungu wakiwa madictator siyo mbaya, wana uzalendo kwa nchi yao na akili ya kuleta maendeleo.
Africa madictator ni wazinzi, wauaji, mafisadi, wabinafsi, wapumba.vu, jitu linaiba pesa na kwenda kuzificha Ulaya?
Bora ule udictator wa Hitler kuliko demokrasia ya Africa.