Usanii huu wa CCM ndio utaing'oa 2015

Usanii huu wa CCM ndio utaing'oa 2015

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,990
Reaction score
25,384
Usanii wa serikali sikivu ya CCM kwa watanzania ndio utakaochangia kwa kiasi kikubwa kuing'oa madarakani mwaka 2015. Kila mtu ni shahidi jinsi serikali hii inavyowadhihaki watanzania ktk mambo muhimu yanayohusu maisha na ustawi wao.

Katika sherehe za mei mosi mwaka huu, Mh Dr Jakaya Mrisho Kikwete aliahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi na kupunguza kodi ya mishahara (PAYE) hadi tarakimu 1. Kilichotekelezwa ktk bajeti hii ya serikali, kila mtu anakijua.

Ni dhahiri kwamba serikali ya CCM imefikia hatua mbaya ya kuwadhihaki na kuwadharau wafanyakazi, pamoja na mchango wao mkubwa ktk maendeleo ya nchi hii. Mtakumbuka mwaka jana rais JK aliitisha mkutano na makada wa CCM, aliowabatiza jina la 'Wazee wa Dar es Salaam', ambapo alitumia mkutano huo kuwananga wafanyakazi kwa kutamka hadharani kwamba HAHITAJI KURA ZAO!

Naomba nimkumbushe JK kuwa ni wafanyakazi hao hao WENYE NJAA ndio watakaoiangusha CCM yake mwaka 2015. Uzezeta wa wafanyakazi (hasa walimu) sasa basi--ni wakati wa JINO kwa JINO!

Nawasilisha.
 
Inawezekana wengi wamechelewa kujua kuwa viongozi wetu na serikali yao ni wasanii. Hawajaanza leo.
 
....kwa hawa wafanyakazi wa kitanzania hakuna kitu!,ndio rais aliahidi kupuza PAYE hadi single digit sawa lakini amepunguza kutika 13% hadi 12% but wako kimya....kile chama chao maneno matupu bwana,ukombozi wa nchi hii ni lazima wanaume twende mistuni bwana.
 
Hilo liko wazi mkuu kama ilivyokuwa 2010 wakachakachua.
 
Hilo liko wazi mkuu kama ilivyokuwa 2010 wakachakachua.

mkuu, hakuna kuchakachua. walimu ndio walikuwa wakishirikiana na CCM kuchakachua lakini sasa wamekata tamaa.
 
mkuu, hakuna kuchakachua. walimu ndio walikuwa wakishirikiana na CCM kuchakachua lakini sasa wamekata tamaa.

Mkuu Waalim CCM imeshawasitukia chaguzi ndogo zote walijitenga nao.
 
punguzo la paye by 1% sawa na shillingi 1900 kwa wafanyakazi na maisha yalivyo Vat ktk kila bidhaa unailipa indirectly sjui tunaelekea wapi
 
Acheni kujidanganya, CCM haiwezi kuondoka madarakani hivi karibuni, irrespective of anything!
 
Waalimu wanakipenda sana chama cha mapinduzi na hata wafanyakazi wote. Chadema imekuja kuwaharibu hivi karibuni kwa kuwachochea wafanyakazi wagome na kufanya maandamano mfano mgomo wa madaktari
 
Usanii wa serikali sikivu ya CCM kwa watanzania ndio utakaochangia kwa kiasi kikubwa kuing'oa madarakani mwaka 2015. Kila mtu ni shahidi jinsi serikali hii inavyowadhihaki watanzania ktk mambo muhimu yanayohusu maisha na ustawi wao.

Katika sherehe za mei mosi mwaka huu, Mh Dr Jakaya Mrisho Kikwete aliahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi na kupunguza kodi ya mishahara (PAYE) hadi tarakimu 1. Kilichotekelezwa ktk bajeti hii ya serikali, kila mtu anakijua.

Ni dhahiri kwamba serikali ya CCM imefikia hatua mbaya ya kuwadhihaki na kuwadharau wafanyakazi, pamoja na mchango wao mkubwa ktk maendeleo ya nchi hii. Mtakumbuka mwaka jana rais JK aliitisha mkutano na makada wa CCM, aliowabatiza jina la 'Wazee wa Dar es Salaam', ambapo alitumia mkutano huo kuwananga wafanyakazi kwa kutamka hadharani kwamba HAHITAJI KURA ZAO!

Naomba nimkumbushe JK kuwa ni wafanyakazi hao hao WENYE NJAA ndio watakaoiangusha CCM yake mwaka 2015. Uzezeta wa wafanyakazi (hasa walimu) sasa basi--ni wakati wa JINO kwa JINO!

Nawasilisha.

Bora ing'olewe wafanyakaz tupumue maana tuna kabwa mpaka kooni. Na ikiondolewa ccm wakina Ifwero,Msalan na wengine weng watatulia tu maana kila kikicha wanakjenga propoganda za kipuuz.
 
Usanii wa serikali sikivu ya CCM kwa watanzania ndio utakaochangia kwa kiasi kikubwa kuing'oa madarakani mwaka 2015. Kila mtu ni shahidi jinsi serikali hii inavyowadhihaki watanzania ktk mambo muhimu yanayohusu maisha na ustawi wao.

Katika sherehe za mei mosi mwaka huu, Mh Dr Jakaya Mrisho Kikwete aliahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi na kupunguza kodi ya mishahara (PAYE) hadi tarakimu 1. Kilichotekelezwa ktk bajeti hii ya serikali, kila mtu anakijua.

Ni dhahiri kwamba serikali ya CCM imefikia hatua mbaya ya kuwadhihaki na kuwadharau wafanyakazi, pamoja na mchango wao mkubwa ktk maendeleo ya nchi hii. Mtakumbuka mwaka jana rais JK aliitisha mkutano na makada wa CCM, aliowabatiza jina la 'Wazee wa Dar es Salaam', ambapo alitumia mkutano huo kuwananga wafanyakazi kwa kutamka hadharani kwamba HAHITAJI KURA ZAO!

Naomba nimkumbushe JK kuwa ni wafanyakazi hao hao WENYE NJAA ndio watakaoiangusha CCM yake mwaka 2015. Uzezeta wa wafanyakazi (hasa walimu) sasa basi--ni wakati wa JINO kwa JINO!

Nawasilisha.

Mkuu hatuhitaji kura yako
 
Hapo pekundu sio kweli, mwaka 2010, Hata hivo ccm is no a political party but just a gang of robbers


Usanii wa serikali sikivu ya CCM kwa watanzania ndio utakaochangia kwa kiasi kikubwa kuing'oa madarakani mwaka 2015. Kila mtu ni shahidi jinsi serikali hii inavyowadhihaki watanzania ktk mambo muhimu yanayohusu maisha na ustawi wao.

Katika sherehe za mei mosi mwaka huu, Mh Dr Jakaya Mrisho Kikwete aliahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi na kupunguza kodi ya mishahara (PAYE) hadi tarakimu 1. Kilichotekelezwa ktk bajeti hii ya serikali, kila mtu anakijua.

Ni dhahiri kwamba serikali ya CCM imefikia hatua mbaya ya kuwadhihaki na kuwadharau wafanyakazi, pamoja na mchango wao mkubwa ktk maendeleo ya nchi hii. Mtakumbuka mwaka jana rais JK aliitisha mkutano na makada wa CCM, aliowabatiza jina la 'Wazee wa Dar es Salaam', ambapo alitumia mkutano huo kuwananga wafanyakazi kwa kutamka hadharani kwamba HAHITAJI KURA ZAO!

Naomba nimkumbushe JK kuwa ni wafanyakazi hao hao WENYE NJAA ndio watakaoiangusha CCM yake mwaka 2015. Uzezeta wa wafanyakazi (hasa walimu) sasa basi--ni wakati wa JINO kwa JINO!

Nawasilisha.
 
....kwa hawa wafanyakazi wa kitanzania hakuna kitu!,ndio rais aliahidi kupuza PAYE hadi single digit sawa lakini amepunguza kutika 13% hadi 12% but wako kimya....kile chama chao maneno matupu bwana,ukombozi wa nchi hii ni lazima wanaume twende mistuni bwana.

Mkuu kima cha chini wamepunguziwa hiyo asilimia moja ongezeko la mshahara wao sasa unaongezeko la Tshs 62,320/= je mkuu hilo si ongezeko?
 
Nawakilisha maoni ya watanzania wengi ambao bado hawajaona mbadala wa CCM.

Mwambie Msalani kuwa we we ni yule mtabili wao aliyesema akiyokea mgombea urais kugombea na Fastjet atakufa na matokeo Yake akatangulia yeye
 
Back
Top Bottom