Usambazaji wa Umeme Musoma Vijijini

Usambazaji wa Umeme Musoma Vijijini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
3,119
Reaction score
1,429

USAMBAZAJI WA UMEME MUSOMA VIJIJINI

Jimbo letu lina Kata 21 zenye Vijiji 68 na Vitongoji 374

(i) Umeme ndani ya Vijiji 68:

Vijiji vyote 68 vimewekewa miundombinu ya usambazaji wa umeme

Kazi iliyokamilishwa Vijijini: 100%

(ii) Umeme ndani ya Vitongoji 374

(a) Mwaka wa Fedha 2024/25:
Wakandarasi 2 wako kazini kusambaza umeme kwenye Vitongoji 74. Kazi itakamilika Disemba 2025

Kazi hiyo ikikamilika Disemba 2025, Jimbo letu litakuwa limebakiza Vitongoji 100 kati ya 374

Kazi itakayokuwa imekamilishwa Dec 2025:
Vitongoji 274 kati ya 374: 73.26%

(b) Mwaka wa Fedha 2025/26
Vitongoji ndani ya Bajeti: 50 kati ya 100 vilivyosalia

Kazi ya usambazaji inaanza 1.7.2025

SHUKRANI
Wananchi na Viongozi wao wa ngazi mbalimbali wa Jimbo la Musoma Vijijini wanatoa shukrani nyingi kwa Serikali yetu inayoongozwa vizuri na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo na ustawi wa Jimbo letu.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

P. O. Box 6
Musoma

Tarehe:
Jumamosi, 10 April 2025
 
Back
Top Bottom