Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
mtatiro julius alipelekwa kuwa DC baada ya kutangaza nia ya kugombea jimbo la UBUNGO bwana mkubwa keshasema mtu mmoja cheo kimoja. kwahiyo bwana mtatiro kalipwa usaliti wakeEmmanuel Laizer aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Shabaha kwa tiketi ya Chadema kutokana na uchaguzi wa 2014 , na baadaye kusaliti na kujiunga na ccm kisha kurudishwa tena kwenye uenyekiti kupitia dirishani , amepata malipo yake baada ya kuangukia pua kwenye kura za maoni dhidi ya mpinzani wake Mosoka Singo .
Chanzo : Nipashe
Angalizo :Tunaandika haya kutokana na sarakasi nyingi mno za jimbo la Hai baada ya dagaa wa siasa kudhani anaweza kummeza Nyangumi.
Endeleeni kutega masikio yenu .