Ndugu zangu; Usalama wa Taifa mshaurini vizuri Bwana mkubwa JK na mumwambie Watanzania wanahitaji katiba mpya hivyo asipuuze kwani akipuuza kama Makamba litamgarimu pia dhambi atakayoipata na nyie hamtaweza kuikwepa kama hamkushauri. Kumbuka tu kuwa kweli itabaki kuwa kweli na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Mungu anaenda kuikomboa Tanzania kwa kuwa watanzania wamemwita.