madeinmusoma
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 326
- 391
Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi ya usalama wa taifa. Nifanyeje ili nifike huko.
Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi ya usalama wa taifa na watu wengi huwa wanahisi mimi ni mmoja wao. Nifanyeje ili nifike huko.
Qualification no. 1 ya kupata post ya kuwa shushushu hapa TZ, ni lazima uwe mwanachama mtiifu wa chama cha magamba.Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi ya usalama wa taifa na watu wengi huwa wanahisi mimi ni mmoja wao. Nifanyeje ili nifike huko.
Kwanzia leo wewe ni usalama wa taifa haya anza kazi