Hawa majamaa viazi sana! Hivi usalama wa taifa kama upo tungeona kushamiri kwa ufisadi nchin?? tungeona kushamiri wa mateja na wauza unga??? Tungeona vitendo vya ajabu vya polisi na wizi unaoikumba nchi yetu??
Au huo usalama kazi yake ni kusimamia tu viongoz wa kitaifa wanaotembelea nchini mwetu?? au kazi yake ni kuzunguka na rais wakati wa ziara??? Mbona wana obviate facts na kujikita kwenye masuala ya kipumbavu na kihistoria??? Usalama wa taifa wakati wa mwalimu Nyerere sio usalama huu tunaoushuhudia sasa hiv.
Suala la kukamatwa kwa Ramadhan mteka Ulimboka wooooote wanajifanya kama hawajasikia yakisemwa na kambi ya Upinzani. Hawa majamaa ni viazi sana, wanadhan wananchi hatujui tunataka nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.