Usalama kuhusu FOCUS VIKOBA

Abby Senior

Senior Member
Joined
Feb 14, 2015
Posts
154
Reaction score
60
Wadau naomba kufahamishwa usalama wa hiki kikundi cha kukopesha watanzania cha focus vicoba, Je kuna mtu yeyote amefanikiwa kukopeshwa na kuendana na masharti yao ?
Wadau hebu angalieni attachment hii niliikuta Facebook, hivi huyo mama Janeth Magufuli ameiona hiyo
 
Matapeli hapo mkuu, usithubutu kudeal nao!
 
Nimesikia leo mama mmoja Radio Tumain akilia alivyolizwa 2m na hawa jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…