Usajiri wa makampuni kwa bei nafuu.

Usajiri wa makampuni kwa bei nafuu.

mdome

Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
8
Reaction score
0
HABARI ZENU WADAU TUNATOA HUDUMA YA USAJIRI WA MAKAMPUNI KWA BEI NAFUU tunachokifanya hapa ni kukusaidia wewe unayetaka kufungua kampuni yako kwa kukuandalia documents muhimu zinazohitajika katika usajili wa kampuni yako ambazo ni MEMORANDUM AND ARTICLES OF ASSOCIATION (MEMARTS) na kufanya mchakato wote wa kupata Certificate of incorporation inayotolewa na Brela.KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA EMAIL HII mabaladome@gmail.com
 
HABARI ZENU WADAU TUNATOA HUDUMA YA USAJIRI WA MAKAMPUNI KWA BEI NAFUU KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA EMAIL HII mabaladome@gmail.com

Kwani wewe ni BRERA ama nyie ndiyo vishoka wa BRERA.Wewe unawezaje kutoa huduma za kusajiri kampuni wakati inajulikana kabisa huwezi kusajili kampuni ndani ya Tanzania bila kupitia BRERA na TRA
 
Duh kweli hii Dar.
Sasa unanichanganya nyie mnasajiri ila mie najua Brela waohawa sajiri,wao huwa wanasajili

Hivi nani anashidwa kwenda pale Brella,

Au ni Kampuni mpya mmeanzisha?

Maana Brela wao wapo kwenye BRELA
na email ya Deputy Register andrew.mka​pa@brela-tz​.org
info@brela-tz​.org
ps@brela-tz​.org

Sasa kama nyie kampuni mpya tuambieni kusajiri ndio nini ili tujue,maana nchi inamakabila mbali mbali,inawezekana Kusajiri ni kutafuta wachumba au
 
Back
Top Bottom