Nimesajili taarifa zangu mwezi mmoja uliopita,lakini mpaka sasa sijapata namba,kwa wajuzi wa mambo,je nifanyeje?,
Kuna watu wanasema kuna namba ya simu unapiga au kutuma sms unaletewa hiyo namba,je kuna anaefahamu hii kitu aniarifu?
natanguliza shukrani