wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Najua timu karibu zote zilifanya usajili.
Hasa hawa wanakariakoo walivimbishiana sana.
Simba ilijidai na chama.
Yanga nao walijidai na Nkane, Chiko na yule nyanda waliyedhurumu Manungu.
Je nani hadi sasa amefaidika na maingizo hayo mapya?
Hasa hawa wanakariakoo walivimbishiana sana.
Simba ilijidai na chama.
Yanga nao walijidai na Nkane, Chiko na yule nyanda waliyedhurumu Manungu.
Je nani hadi sasa amefaidika na maingizo hayo mapya?