Taarifa niliyonayo ni kwamba kati ya wasailiwa 206 walioitwa usaili kwa tarehe hizo mbili watachukuliwa watu 4 tu,taarifa ndo hiyo
Taarifa niliyonayo ni kwamba kati ya wasailiwa 206 walioitwa usaili kwa tarehe hizo mbili watachukuliwa watu 4 tu,taarifa ndo hiyo
Wacha urongo,kwa nyeti nilizozipata kutoka kwa kibosile mmoja wa Fire anasema vigogo kibao waliwajia juu kutokana na kutoyaona majina ya watu wao kwenye list ya kwanza ndo wakafikia uamuzi wa kuwashotlist watu wengine 200,hivyo majina unayoyaona ya awamu ya pili karibu yote ni ya ndugu wa vigogo so usijidanganye kwa hilo,unaweza kuta hawa ndo watachukuliwa kwa wingi kwasababu ya marefa.
NB: Mimi walinishotlist awamu ya kwanza but sitaki kujifariji kwa hilo
Taarifa niliyonayo ni kwamba kati ya wasailiwa 206 walioitwa usaili kwa tarehe hizo mbili watachukuliwa watu 4 tu,taarifa ndo hiyo
kwani majina ya kostebo yametoka?