Usaili wa TAA duu changamoto

Mkuu TAA uliingia operation au security?
 
Maswali ya Operational officer nimeyasahau ninachokumbika ni Airport Bird Hazard controls na Main airport reservations..!Vp ungechomoka mkuu as a Fresh from College..?
BAba ukiachana na elinu dunia yangu ya juu ila nina diploma ya civil aviation.
Usikute mimi ndio nimewatungia hio mitihani.
 
Haaahaa...nimejibu kifundi mchundo zaidi hapa nasikikilizia majibu hiyo j4 jioni
 
Ni kisanga yani mtihani mmoja unauliza maswali ya programming ya language 5 tofauti.Na kiuhalisia unakutaga mtu unajua language moja tu ya object oriented.
 
Sahihi kabisa mkuu mm ni mtu mtu wa makabati,ni kweli wengi wetu nikiwemo mm nko vzuri ktk calculation but upande wa maelezo nipo very poor mfano lile swali la kwanza daah limenpotezea sana muda afu sina uwakika nalo ila lingekuwa calculation basi ata dk lisingechukua kulimaliza.
Clerical errors nilizisoma japo hlo neno lilinpashda kdogo so nilvyoingia tu nikaanza nalo...

Ila kwastyle hii kuna watu wataumia sana,coz kuna watu uku vyuoni advanced kapiga pcm,pcb,hkl na n.k afu uku chuo kachagua accountancy so hawa watu wanameza hatari na GPA zao zinang'ara sasa wakija kukutana na hzi pepa watajiona vilaza sana mana hzi pepa zinaitaji uelewa wako zaidi.
 
Yeah Mkuu Sasa Inabidi uanze kujifua vizuri sasa Ndugu yangu uwe Very Deeply maana hizi kozi wanaosoma ni wengi na Mtaani wako wengi pia ila wewe inabidi ujiweke tofauti kwa kuwa nondo zaidi.
 
Kama haya maswali ni magumu basi shuleni ulienda kupoteza muda
 
Subiri matokeo kuna watu watapata 90% ndio utaamini mtihani haukuwa mgumu
Hiyo kawaida mkuu halafu ujaelewa nilivyosema hauko wazi haimaanishi hakuna watakaofaulu !! Kwa maoni tu ni mtihani ambao kila mtu anakuwa na majibu yake kutokana na jinsi alivyolielewa swali akuna yale majibu ya directly kama upo kwenye field ya umeme nazani umenielewa mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…