Usaili wa Afisa Ushirika

Usaili wa Afisa Ushirika

smigoo

Member
Joined
May 8, 2015
Posts
31
Reaction score
5
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuitwa kwenye usaili na secretariat ya ajira kwa nafasi ya cooperative officer(afisa ushirika) naombeni msaada wenu kuhusu fomart na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye written yanayo husiana na hii post

Asanteni
 
Jitaidi kusoma mambo ya darasani especially kwenye iyo post uliyoitwa ila usisaau na mambo mengine kupitia ila kiufupi utumishi uwa hawaeleweki. nice interview kijana
 
jitaidi kusoma mambo ya darasani especially kwenye iyo post uliyoitwa ila usisaau na mambo mengine kupitia ila kiufupi utumishi uwa hawaeleweki. Nice interview kijana

thanks
 
jamani naombeni msaada wenu natafuta KADA ya AFISA BIASHARA (TRADE OFFICER) naipataje nimeikosa kwenye kada zote zilizo tolewa nisaidie
 
jamani naombeni msaada wenu natafuta KADA ya AFISA BIASHARA (TRADE OFFICER) naipataje nimeikosa kwenye kada zote zilizo tolewa nisaidie

Afisa Biashara walizitangaza mwezi wa saba na bado hawajaitwa watu kwa usaili, wameita kwa zile nafasi walizozitangaza mwezi wa sita.
Endelea tu kusubiri!
 
Back
Top Bottom