Complex number
JF-Expert Member
- Apr 28, 2012
- 217
- 56
Habari.
Tangazo la usaili utakao fanyika mikoani na Dar es salaam kwa wataalam wa mifugo, uvuvi, kilimo na madereva baadhi ya kada wameandika hakuna mchucho.
Je wana maanisha ni usaili/ interview ya namna gani huo/hiyo?
Asante.
Tangazo la usaili utakao fanyika mikoani na Dar es salaam kwa wataalam wa mifugo, uvuvi, kilimo na madereva baadhi ya kada wameandika hakuna mchucho.
Je wana maanisha ni usaili/ interview ya namna gani huo/hiyo?
Asante.