Usaili kwanjia ya online

Usaili kwanjia ya online

James 25th

Member
Joined
Feb 24, 2025
Posts
38
Reaction score
17
Napenda kuuliza kwamlio wahi kufanya interview za utumishi kwanjia ya online, hua inakuaje? Sababu nimeitwa nasijui inakuaga vipi. Mnijuze kwamnao jua
 
Napenda kuuliza kwamlio wahi kufanya interview za utumishi kwanjia ya online, hua inakuaje? Sababu nimeitwa nasijui inakuaga vipi. Mnijuze kwamnao jua
1.Jitahidi kujua username yako na password ajira Haki Kisha unafanya mazoezi ya kulog in.Ukifika utalog in kwenye account yako na mtihani utafanyia kwenye account yako.

2Jitahidi kuwa makini usije kuminya submit buttom kabla ya muda maana ukishasubmit hutaweza kurudi nyuma tena.

3.Pia ukiingia kwenye account hutakiwi kutoka kwenda google au sehemu nyingine yoyote nje na hapo kwenye account yako.Ukifanya hivyo system itakutema na hautaweza kufanya huo mtihani.

Ukiona watu wanapata zero online uptitude test ujue shida ni 2 au 3

Kama hujui kutumia desktop anza kujipa mazoezi kidogo kidogo hasa ya kuandika na kutumia mouse.
 
Kuongezea alipoishia mkuu hapo juu

Hakikisha unafika mapema kwenye eneo la kufanyia pepa ikiwezekana nusu saa kabla

Beba vyeti vyako original na kuhakikisha taarifa kama majina yanafanana kwenye vyeti vyako kama kuna tatizo popote uwe na viapo

Wakati wa kufanya pepa hakikisha speed yako ya kusoma maswali ni kubwa maana kila swali linakadiriwa utumie dakika moja kusoma na kujibu

Bwana awe nawe na akusaidie kufaulu

Nb: Hakikisha umepiga msuli hasa
 
Napenda kuuliza kwamlio wahi kufanya interview za utumishi kwanjia ya online, hua inakuaje? Sababu nimeitwa nasijui inakuaga vipi. Mnijuze kwamnao jua
Hongera kwa kuchaguliwa kwenye Usahili Mkuu
1. Ukiingia kwenye chumba Cha Usahili utaambiwa nenda kakae kwenye computer ambayo imewaka, inabidi ufanye ivyo
2. Baada ya apo kwenye screen ya computer utakuta Kuna uwanja wa ajira portal ivyo utaambiwa uingize username na Password kwenye ajira portal
3. Baada ya apo italeta jina lako kwenye dash board upande wa kulia juu na chini italeta jina la nafasi ya kazi uliyo omba, inaweza chukua hata dakika 20 kuwa kwenye iyo screen ya awali
4. Baada ya apo yule mtu wa Usahili ataongea na makao makuu kisha baada ya apo screen yako itabadilika na kukuletea maelekezo unayo takiwa kufuata pindi unapo Fanya mtiani, zoezi hili litadumu kwa muda wa dakika kumi ivi
5. Baada ya apo utakubali Aya maelekezo kwa kuminya kitufe Cha kukubali kisha mtiani wako utakuja
6. Mtiani unaweza kuwa na kaswali 40,45 au 50 na kila swali ni dakika moja ivyo muda upo wa kutosha maana ni multiple choice ivyo usiwe na papara
6. Ukiwa unachagua majibu kazi yako ni kuscrol chini au juu na kuchagua jibu usifanye kitu Cha tofauti na icho
7. Baada ya kumaliza maswali yote unaweza kusubmitt au ukasubiria muda uishe ili ijikusanye yenyewe
8. Mwisho kabisa utapewa karatasi kisha uta weka sahihi yako na apo itakuwa mwisho wa usahili

Cc: Mnanje Boy
 
Hongera kwa kuchaguliwa kwenye Usahili Mkuu
1. Ukiingia kwenye chumba Cha Usahili utaambiwa nenda kakae kwenye computer ambayo imewaka, inabidi ufanye ivyo
2. Baada ya apo kwenye screen ya computer utakuta Kuna uwanja wa ajira portal ivyo utaambiwa uingize username na Password kwenye ajira portal
3. Baada ya apo italeta jina lako kwenye dash board upande wa kulia juu na chini italeta jina la nafasi ya kazi uliyo omba, inaweza chukua hata dakika 20 kuwa kwenye iyo screen ya awali
4. Baada ya apo yule mtu wa Usahili ataongea na makao makuu kisha baada ya apo screen yako itabadilika na kukuletea maelekezo unayo takiwa kufuata pindi unapo Fanya mtiani, zoezi hili litadumu kwa muda wa dakika kumi ivi
5. Baada ya apo utakubali Aya maelekezo kwa kuminya kitufe Cha kukubali kisha mtiani wako utakuja
6. Mtiani unaweza kuwa na kaswali 40,45 au 50 na kila swali ni dakika moja ivyo muda upo wa kutosha maana ni multiple choice ivyo usiwe na papara
6. Ukiwa unachagua majibu kazi yako ni kuscrol chini au juu na kuchagua jibu usifanye kitu Cha tofauti na icho
7. Baada ya kumaliza maswali yote unaweza kusubmitt au ukasubiria muda uishe ili ijikusanye yenyewe
8. Mwisho kabisa utapewa karatasi kisha uta weka sahihi yako na apo itakuwa mwisho wa usahili

Cc: Mnanje Boy
Umeelezea vizuri sana
 
NAOMBA KUULIZA
Hivi kuna cheti cha form 4 au 6 chenye majina matatu yan katikati sio initial mfano JUMA FADLU DAUDI badala ya JUMA F DAUDI??
 
Napenda kuuliza kwamlio wahi kufanya interview za utumishi kwanjia ya online, hua inakuaje? Sababu nimeitwa nasijui inakuaga vipi. Mnijuze kwamnao jua
Ni maswali ya multiple choice.
 
Back
Top Bottom