Usaili Jeshi la Polisi ni lini?

Usaili Jeshi la Polisi ni lini?

polisi wamepigwa stop kuchukua watu ambao hawajapitia jkt. Ametuambia mkuu wa jkt juz tar 10 akitokea mtabila 824 kj. Nawashauri wanaotaka kuingia sector ya ulinzi waje jkt then wataliunga. Pia achen uoga jeshi la sasa halina mambo ya kizamani labda ukitinyanga ndo utazawadiwa dril na kazi za watu za kutosha. Professionals come this way. Hata wale waliofanya usaili uhamiaji wasahau,,, ni lazima wapitie jkt. Ukiona umeingia polisi bila kupitia jkt kwa sasa basi jua jkt haina askari wa kutosha kutokana na mahitaji ya idara husika.

Mjomba hata sisi pia tunapata info za jeshini mpaka wizara nyeti zinazo fahamika Tz, mdau tangazo lina display kila kitu so ondoa hofu kama unakidhi vigezo walivyo ainisha anyway Kuna vijana waliotoka depo jkt bado wapo makambini wangine wameshachaguliwa zimamoto na wanamalizia kozi yao, wangine wata join polisi mwaka huu pamoja na professional na wangine wanamalizia kozi za Nida ili watupwe mikoani kufanya zoezi hilo!!! Bare in mind kama unakidhi vigezo utapita tu
Always we don't talk a shit unless has been authorized and researched.....:bump:
 
Back
Top Bottom