Usaili Jeshi la Polisi ni lini?

Usaili Jeshi la Polisi ni lini?

M.J

Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
27
Reaction score
3
Kwa mwenye uzoefu (experience) plz naomba kujuzwa usaili kwa waombaji elimu ya juu huwa unafanyka baada ya muda gan tokea deadline ya kutuma maombi ambapo kwa mwaka huu ilkua31/8. Welcome...
 
Kuwa mpole! Utajuzwa

Ebwana poa yote hii ni kuepuka kuchanganya habar kwan waweza chukua tenda kwa m2 tareh 10/9 halaf usail ukawa tareh 28/9 na tenda ilibid iende mwez mzma had 10/10 na zaid cjajua early baada ya usaili utaratbu unakuaje!
 
mtoa mada ameuliza tutaitwa lini, mm nimemjibu nadhani hawatachelewa kuita watu ili usaili ufanyike pamoja na wale wa awali ambao ni form 4 na 6, walio kwisha itwa!

Ngonyan hata kama huna jibu la nilchotaka kukifaham bt lengo langu umelipata vzur sana mlcho tofautiana na huyu bwana ni uwezo wa kufikiri na busara kwan kaelekezwa arejee mada yeye kang'ang'ania kucomment bila kusoma mada ni wengi sana nchi hii hakka 2nasafar ndefu....
 
polisi wamepigwa stop kuchukua watu ambao hawajapitia jkt. Ametuambia mkuu wa jkt juz tar 10 akitokea mtabila 824 kj. Nawashauri wanaotaka kuingia sector ya ulinzi waje jkt then wataliunga. Pia achen uoga jeshi la sasa halina mambo ya kizamani labda ukitinyanga ndo utazawadiwa dril na kazi za watu za kutosha. Professionals come this way. Hata wale waliofanya usaili uhamiaji wasahau,,, ni lazima wapitie jkt. Ukiona umeingia polisi bila kupitia jkt kwa sasa basi jua jkt haina askari wa kutosha kutokana na mahitaji ya idara husika.
 
Kuwa mpole, walioingia ccp mwaka jana november ndo wanafuzu leo mafunzo yao huko moshi
 
polisi wamepigwa stop kuchukua watu ambao hawajapitia jkt. Ametuambia mkuu wa jkt juz tar 10 akitokea mtabila 824 kj. Nawashauri wanaotaka kuingia sector ya ulinzi waje jkt then wataliunga. Pia achen uoga jeshi la sasa halina mambo ya kizamani labda ukitinyanga ndo utazawadiwa dril na kazi za watu za kutosha. Professionals come this way. Hata wale waliofanya usaili uhamiaji wasahau,,, ni lazima wapitie jkt. Ukiona umeingia polisi bila kupitia jkt kwa sasa basi jua jkt haina askari wa kutosha kutokana na mahitaji ya idara husika.

Kama ndivo wasingetangaza kazi basi...?? Wangekuja tuu jkt na kuchukua huko..
 
polisi wamepigwa stop kuchukua watu ambao hawajapitia jkt. Ametuambia mkuu wa jkt juz tar 10 akitokea mtabila 824 kj. Nawashauri wanaotaka kuingia sector ya ulinzi waje jkt then wataliunga. Pia achen uoga jeshi la sasa halina mambo ya kizamani labda ukitinyanga ndo utazawadiwa dril na kazi za watu za kutosha. Professionals come this way. Hata wale waliofanya usaili uhamiaji wasahau,,, ni lazima wapitie jkt. Ukiona umeingia polisi bila kupitia jkt kwa sasa basi jua jkt haina askari wa kutosha kutokana na mahitaji ya idara husika.

mkuu, kwani wakat wanasema tu apply kulikuwa hakuja jkt?? Ebu kasome kwenye web yao jinsi walivyoanza kuelezea hilo tangazo la ajira kwa watu wa elimu ya juu.....zen majibu utapata!
By the way, tunasubiria tamko la yulee tuliyeambiwa tu direct maombi kwakee! Husihusanishe matukio, hao wa uhamiaji unajua nn kilitokea!??
 
Nawashauri watanzania wenzangu, msije mkajikuta mnakata tamaa kwa maneno ya kuambiwa na msije mkamponda mtu anayekupa habari! Chamsingi ni kuchukua kile ulichokisikia kwa asilimia kadhaa na usikatishwe tamaa. Uwa napiga story na wakubwa wa jwtz na polisi na wanachosema ni kwamba kwa upande wa professionals uwa wanachukua mtaani pindi uitaji unapokuepo! Kwaiyo kama wameitaji professionals wakatangaza kwa watu wa mtaani basi wao sio machizi kuzitoa cha msingi vuteni subira Mungu yupo.
 
Kwa mwenye uzoefu (experience) plz naomba kujuzwa usaili kwa waombaji elimu ya juu huwa unafanyka baada ya muda gan tokea deadline ya kutuma maombi ambapo kwa mwaka huu ilkua31/8. Welcome...

Tafadhali endelea kutembelea tovuti ya jeshi la Polisi.
 
Nawashauri watanzania wenzangu, msije mkajikuta mnakata tamaa kwa maneno ya kuambiwa na msije mkamponda mtu anayekupa habari! Chamsingi ni kuchukua kile ulichokisikia kwa asilimia kadhaa na usikatishwe tamaa. Uwa napiga story na wakubwa wa jwtz na polisi na wanachosema ni kwamba kwa upande wa professionals uwa wanachukua mtaani pindi uitaji unapokuepo! Kwaiyo kama wameitaji professionals wakatangaza kwa watu wa mtaani basi wao sio machizi kuzitoa cha msingi vuteni subira Mungu yupo.

Mungu akubariki mpendwa!
 
Back
Top Bottom