mzuri homy
Member
- May 24, 2014
- 16
- 1
jamani naomba kuuliza ! hilo tangazo la kuitwa kwa usahili secretarit ya ajira nafac za kazi zilitangazwa lini??
Ilikuwa ni feb mwaka huu
nashukuru.. maana nimeomba vya kutosha mpaka nakaribia kuchoka alaf sasa sioni jina. nilifikiri ni lile la may 9 , na may 14 na 15
Mwisho wa kutuma maombi ilikuwa lini
mwisho ilikuwa 3,march,2014, na zilitangazwa tarehe 17,18,feb,2014.