Usahihi kuhusu BRELA


kwa nini kusearch business name lazima uwe umejisajili?

why cant anyone just go online and search a business name or registered companies tena for free? what do you have to charge for info that that should be open in the public domain kuendana na mipango ya serikali ya OPEN GOVERNMENT PARTNERSHIP?
 
Uzi wake aliuleta jana, hakika tulimuelimisha kwa kadri tulivyoweza na hatimaye akakubali.
cc. Comrade Igwe.
 

Mkuu mara ya mwisho umekwenda lini brela kusajili kampuni?

Au mara ya mwisho umetembelea lini website yao ?
 
Verification wanachukua miezi mingapi siku hizi? Enzi hizo niko taasisi ya fedha, ilikuwa nikipata mteja anayetaka kufungua Business Account basi hapo hapo najisikia kuugua! Ilikuwa ukiwapelekea documents za mteja for verifications... basi zikirudi baada ya miezi 3; kapike sadaka kwenu!! Kipindi hicho ndipo niliichukia BRELA!
 
Naingia o
Mkuu mara ya mwisho umekwenda lini brela kusajili kampuni?

Au mara ya mwisho umetembelea lini website yao ?


Sihitaji kwenda Brela

naingia online hapa:

https://ors.brela.go.tz/login

Kisha search jina la kampuni tuseme JAMIIMEDIA

hutopata access hiyo mpaka Ujisajili online yaani ufanye registration...another part of urasimu

NI sawa na kuingia kwenye Google

Kisha google wanakwambia mpaka ujisajili ndio utaweza kufanya search

Why?
 
wizi tuu

why haya mambo yafanywe kwa urasimu

ukitaka ku search business name kama vile CRDB watakwambia lazima ufanye registration ndio utaweza kufanya usajili

kama sio wifi nini?

Evidence hii hapa

https://ors.brela.go.tz/login
 
Acha uji...n..ga wewe, tunatakiwa mambo yawe yanachukua muda mfupi...watu wanahangaishwa na mambo ya ajabu ajabu
 
wizi tuu

why haya mambo yafanywe kwa urasimu

ukitaka ku search business name kama vile CRDB watakwambia lazima ufanye registration ndio utaweza kufanya usajili

kama sio wifi nini?

Evidence hii hapa

https://ors.brela.go.tz/login
The problem kwa online search haitoa enough information for verification. Hata hivyo, sio kwamba haiwezekani; endapo wangeamua, info muhimu zote wangeweza kuziweka na pasiwe na sababu tena ya watu kuwapelekea ma-docs.
 
The problem kwa online search haitoa enough information for verification. Hata hivyo, sio kwamba haiwezekani; endapo wangeamua, info muhimu zote wangeweza kuziweka na pasiwe na sababu tena ya watu kuwapelekea ma-docs.

hili ni jipu na wanatuchelewesha na urasimu
Tangu lini ku search for simple info watu wakafanya registration? wanataka namba za sim, majina na verification ndio naweza kusearch business name online

Imagine google wakwambie kuwa kabla hujafanya search lazima uweke namba zako za sim majina yako nk ndio utaweza kufanya business name search...ontop unalipishwa elf 20

ningekuwa na register kampuni au nafanya returns au nabadili jina la kampuni I would have understood the concept of registration na kuweka personal details zangu

MFANO HUU HAPA CHINI NIMEINGIA KWENYE WEBSITE YA SEC YA USA AMBAYO UNAWEZA KU SEARCH MAJINA YA KAMPUNI ZOZOTE BILA KUAMBIWA UWEKE PRIVATE INFO

USHAHIDI HUUU HAPA:

http://www.sec.gov/edgar/searchedgar/companysearch.html
 

Mkuu sasa napata picha kwamba wewe ni mpotoshaji mkubwa na wala hujui BRELa ya sasa inafanyaje kazi


Naomba rudi kwenye thread yako ya awali kafanye marekebisho na hasa baada ya kuingia website yao na kupata ufafanuzi kwa watu wanaokwend BRELA na uache madai ya ukweli

Najua hawajakmilika wanamapungufu lakini mkuu madai yako mengi ni kwasababu haukua na taarifa sahihi

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Nenda kafanye usajili mkuu utakuja na hadithi tofauti
 
hili ni jipu na wanatuchelewesha na urasimu
Tangu lini ku search for simple info watu wakafanya registration? wanataka namba za sim, majina na verification ndio naweza kusearch business name online

Imagine google wakwambie kuwa kabla hujafanya search lazima uweke namba zako za sim majina yako nk ndio utaweza kufanya business name search...ontop unalipishwa elf 20

ningekuwa na register kampuni au nafanya returns au nabadili jina la kampuni I would have understood the concept of registration na kuweka personal details zangu

MFANO HUU HAPA CHINI NIMEINGIA KWENYE WEBSITE YA SEC YA USA AMBAYO UNAWEZA KU SEARCH MAJINA YA KAMPUNI ZOZOTE BILA KUAMBIWA UWEKE PRIVATE INFO

USHAHIDI HUUU HAPA:

http://www.sec.gov/edgar/searchedgar/companysearch.html
 

Ulianza kulalamika oooh unatakiwa upande basi hata kama upo mwanza kwenda dar kufanya research ya jina kisha ulipie elfu hamsini na rushwa then urudi ukae mwezi mzima kupata majibu

Sasa umegundua kumbe sio kweli unaanza kulia na regstration ya dakika tatu!!!?
Wabongo tunapenda kulalma jamani

Najua jamaa hawapo perfect lakini mkuu madai yako bana ni kwasababu ahuna information sahihi
 
hili ni jipu na wanatuchelewesha na urasimu
Tangu lini ku search for simple info watu wakafanya registration? wanataka namba za sim, majina na verification ndio naweza kusearch business name online

Imagine google wakwambie kuwa kabla hujafanya search lazima uweke namba zako za sim majina yako nk ndio utaweza kufanya business name search...ontop unalipishwa elf 20

ningekuwa na register kampuni au nafanya returns au nabadili jina la kampuni I would have understood the concept of registration na kuweka personal details zangu

MFANO HUU HAPA CHINI NIMEINGIA KWENYE WEBSITE YA SEC YA USA AMBAYO UNAWEZA KU SEARCH MAJINA YA KAMPUNI ZOZOTE BILA KUAMBIWA UWEKE PRIVATE INFO

USHAHIDI HUUU HAPA:

http://www.sec.gov/edgar/searchedgar/companysearch.html
 
Naungana na wewe Mkuu. brela ya sasa inaendana na speed ya Magufuli. Juzi juzi walikuja huku kanda ya ziwa majamaa wako fresh sana. Ndani ya dakika 10 nilipata cheti na sasa nina kampuni yangu.

Kuna vijana pale wanapiga kazi sana sana.
Una kampuni yako au una jina la biashara?
 

Brela ya sasa mkuu hakuna hata usajili wa siku mbili kama umekwenda na doc zote

Nakushauri nenda kafanye usajili utakuja na majibu hap
 
wanajibu thread hii hapa

Kwanini Rais Magufuli hataki kutumbua jipu la BRELA?

majibu yao ni mepesi mepesi sana

kwa nini wasitoe official press release to the media? why join JF na fake names kujibu?
Watoe pr kwa ajili ya malalamiko yako? Hicho ulichofanya hapa ni majungu. Wengine tuna zaidi ya miaka 10+ tuna deal na BRELA, kama taasisi nyingine wanazo changamoto lakini ukweli ni kwamba wameenda mbele hatua nyingi. Tuwaunge mkono tuache majungu kwa kutaka kuwalinganisha na taaasisi za Marekani bwana!
 
Ni utetezi wa hovyo. Fanyieni kazi changamoto mnazopewa na wananchi, kuliko kuleta utete usio na tija na wa kiwango chini kama huu. 1.ANZISHENI KANDA. 2. WEBSITE IWE USERFRIENDLY.
 
Mleta Thread Kaja Kuitakasa Brela Nadhani Wadau Wataweka Hadharani Kila Kitu.
 
Ushauri wako nimeupenda maana una pendekeza hata huu tusiuamini kwa saaaana!!!
Tuendelee kutafuta and the search wont end.
 
Hayo maelezo ya historia ungewafundisha wanafunzi ingependeza kwenye tovuti yenu mnaona ipo sawa kabisa tunavyo apply kupata hiyo fomu ya kusajili jina la kibiashara/kampuni? Halafu mpompo tu hamna ushawishi wowote kwa wateja hata kujitangaza ni kazi
Wakuu Hekima Kwanza na Denis, mimi ninakubaliana na hoja zenu, lakini si katika kiwango cha kuwaona BRELA ni JIPU! Binafsi ni mdau wa BRELA, nikilinganisha na huko tulikotoka naona kuna mabadiliko makubwa. Kweli kuna changamoto, zingine za mfanyakazi mmoja mmoja na sio BRELA kama taasisi. Mfano, nina zaidi ya miezi miwili niliandikisha jina la biashara lakini utashangaa hadi leo kuna jamaa hajanitumia cheti changu cha usajili, hili siwezi kuliita ni tatizo la BRELA bali la huyo mtu ambaye mimi nahurumia mkewe na watoto iwapo nitamharibia kazi.

Zaidi ya miaka minane iliyopita nilisajili kampuni mapito niliyoyapita hadi kupata cheti cha usajili nikilinganisha na sasa, naona BRELA kuna mabadiliko makubwa sana. Niwaombe tu tukubaliane kwamba matumizi ya mtandao hapa kwetu bado nayo ni changamoto. Na kwa uhakika, ni maoni yangu kwamba kama tusingekuwa na changamoto kwenye matumizi ya mtandao sioni hata sababu ya kutumia muda na gharama kubwa kuhamishia makao makuu Dodoma leo kama tunaendelea kutumia hoja ya Nyerere katika uamuzi huo. Hoja kuu ya Nyerere (japo inapotoshwa) ilikuwa kwamba, kuhamishia makao makuu Dodoma ingesaidia kuharakisha maendeleo katika mikoa mingine kwa kuwa Dodoma ni katikati ya nchi.Je, katika karne hii ya dunia kuwa ni kijiji tunahitaji watu kubebana kwenda Dodoma ili kuleta maendeleo katika mikoa mingine? Hivyo hivyo, tukubali kwamba teknolojia bado ni changamoto kwetu, na BRELA tusiwalaumu sana bali tuwaunge mkono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…