Mgagagigikoko1
Member
- Sep 15, 2017
- 13
- 16
Samahani wakuu naomba kujua bei za kusafirisha mifugo mfano mbuz ngombe na kuku na magunia ya mazao kutoka mikoani kuja dar. Hasahasa kutoka mikoa ya dodoma na singida kwa malori.
Asanteni sana
Asanteni sana