IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,230
- 1,925
Ha ha ha tycoon nineamini kupata pesa na mali ni tofauti na kupata elimu. Ungeingia darasa la fizikia usinge andika hiki ukichoandika. Ushauri usiwasikilize makenika walio kimbia shule kwenda kutumwa spana. Kumbuka huwezi kutoa usichokua nachacho80km/h ya basi ni sawa na 120 km/h ya gari ndogo.