Ni utalaamu ambao umefichika ! Ungawekwa wazi kupatia watu wengi ajira kwani inawezekana ukawa na gharama nafuu ya uendeshaji, kinachotakiwa ni kuwa muangalifu usije ukashushwa chini na wenzako bila ridhaa yako !!!1
Walikuwa wakielekea mkoani mbeya kwenye msiba wa mama yao.Chanzo cha ajali ni mwenzao mmoja aliyekosea masharti kwa kugeuka nyuma wakati safari ikiendelea.
Wamedai hii ilikuwa ni mara yao ya pili kusafiri kwa ungo na wamekuwa wakitumia muda wa saa 1:30 kutoka singida mpaka mbeya.Vijana hao wanashikiliwa na polisi mkoani singida kwa mahojiano zaidi.SOURCE:ITV HABARI.
Nimewaona walikuwa wanachechemea halafu wana mabaka meusi kwenye mashavu,jamani hii ni hatari sana kumbe kuna watu wanaenjoy hivi kwenye safari zao utadhani wanatumia ndege???!!!
Nimewaona walikuwa wanachechemea halafu wana mabaka meusi kwenye mashavu,jamani hii ni hatari sana kumbe kuna watu wanaenjoy hivi kwenye safari zao utadhani wanatumia ndege???!!!
Mimi nadhani hao ni wahalifu, wakaona waingie kwa gea ya ungo ili wasisulubishwe. Mimi niliiona hiyo ITV, ingawa hawakuonyesha hizo nyungo walizokuwa wakisafiria nazo!
Nimewaona walikuwa wanachechemea halafu wana mabaka meusi kwenye mashavu,jamani hii ni hatari sana kumbe kuna watu wanaenjoy hivi kwenye safari zao utadhani wanatumia ndege???!!!
Mimi nadhani hao ni wahalifu, wakaona waingie kwa gea ya ungo ili wasisulubishwe. Mimi niliiona hiyo ITV, ingawa hawakuonyesha hizo nyungo walizokuwa wakisafiria nazo!
Mimi nadhani hao ni wahalifu, wakaona waingie kwa gea ya ungo ili wasisulubishwe. Mimi niliiona hiyo ITV, ingawa hawakuonyesha hizo nyungo walizokuwa wakisafiria nazo!