Leo kwa mara ya kwanza nimepanda City train na kwa sasa niko nyumbani nimepumzika na familia yangu mara baada ya kumaliza kazi saa 9:30, kweli usafiri wa Train ni raha kwani ingekuwa dala dala ningekuwa bado na sota kwenye foleni. Hongera sana Dr Mwakyembe kwa kusimamia mawazo na maamzi yako.
ngoja waje chadema uone matusi yao mana rohooo inawauma hapo noma ...mana wanawaza muda wote jk ashindwe kutimiza ahadi
ngoja waje chadema uone matusi yao mana rohooo inawauma hapo noma ...mana wanawaza muda wote jk ashindwe kutimiza ahadi
ngoja waje chadema uone matusi yao mana rohooo inawauma hapo noma ...mana wanawaza muda wote jk ashindwe kutimiza ahadi
ngoja waje chadema uone matusi yao mana rohooo inawauma hapo noma ...mana wanawaza muda wote jk ashindwe kutimiza ahadi
Unakaa wapi?
Umepanda toka wapi hadi wapi??
ngoja waje chadema uone matusi yao mana rohooo inawauma hapo noma ...mana wanawaza muda wote jk ashindwe kutimiza ahadi
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mwakyembe amedhubutu na ameweza. Hao mawaziri wengine wanafanya nini? Chamsingi tutoe maoni ya namna ya kuboresha huduma hii ya usafiri wa treni jijini DSM.