Usafiri wa Kwenda Kahama

Usafiri wa Kwenda Kahama

Papaa Azonto

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
319
Reaction score
277
Habari wana JF

Basi gan zur kwa kusafiri kutoka Dar kwenda kahama!
 
Leina tours nimelipanda siku ya J2 toka kahama kuja Dar tatizo ilikuwa na hitilafu kwenye mfumo wa maji, tulianza safari kwenye saa 2.45 badala ya saa 12.30 za asubuhi cha ajabu magari yote tuliyapita dodoma! Ila inabidi usiwe mwepesi wa kuogopa speed.Make lina paa ile mbaya!
 
Back
Top Bottom