Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Wapendwa habari zenu???
Poleni na majukumu ya siku
Naombeni msaada wenu kwa wale waliowahi kusafiri na ndege ya Fast Jet ndani ya TZ
Nimebook kusafiri na shirika hili mwezi ujao mwishoni, nauli yao naiona resonable kulingana na matangazo yao.. niliwahi kubook nikafanyiwa laki mbili go-return.. na t'cket inaonyesha nina kilo ishirini za kuchukuwa.
ila nasikia kuna vitu ukizidissha kgs tu wanakucharge, sasa naomba wenye uzoefu na safari hizi, je hizo kg nilizoambiwa kwamba zitakuwa along with me, ni sahihi, bag yangu ya mkononi na box la kg 10 kumi hivi itakuwa sawa au wanahesabu bag ya mkononi tu???
Ushauri na mauzoefu jamani kabla sijaaibika, si unajua lazima ubebe kandoo ka samaki kutoka mwanza upelekee wenyeji zawadi!!!
msaaada.
Poleni na majukumu ya siku
Naombeni msaada wenu kwa wale waliowahi kusafiri na ndege ya Fast Jet ndani ya TZ
Nimebook kusafiri na shirika hili mwezi ujao mwishoni, nauli yao naiona resonable kulingana na matangazo yao.. niliwahi kubook nikafanyiwa laki mbili go-return.. na t'cket inaonyesha nina kilo ishirini za kuchukuwa.
ila nasikia kuna vitu ukizidissha kgs tu wanakucharge, sasa naomba wenye uzoefu na safari hizi, je hizo kg nilizoambiwa kwamba zitakuwa along with me, ni sahihi, bag yangu ya mkononi na box la kg 10 kumi hivi itakuwa sawa au wanahesabu bag ya mkononi tu???
Ushauri na mauzoefu jamani kabla sijaaibika, si unajua lazima ubebe kandoo ka samaki kutoka mwanza upelekee wenyeji zawadi!!!
msaaada.