Usafiri wa Bus za kwenda Dar-Kondoa

Usafiri wa Bus za kwenda Dar-Kondoa

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,717
Reaction score
4,295
Habar wakuu, Niko dar kesho nina safari ya kwenda Kondoa, nauliza kuna gari za kwenda huko? Ni kampuni gari nzuri ya bus za kutoka Dar kwenda Kondoa?

Na nauli ni shilingi ngapi zinatoka Dar muda gani?
 
Panda SGR mpaka Dodoma, ukifika dom chukua Machame Bus zipo nyingi tu zinaenda kondoa zinaondoka hapo Dodoma kila baada ya lisaa au masaa mawili

Nb: Dodoma Kondoa ni mwendo wa masaa mawili na nusu tu kwa bus.
 
Panda MANING NICE au SHABIBY

Changamoto ni kwamba hayo magari mengi yanafanya shift za usiku
 
Root
Shukrani
Machame
Shabiby
Ngasere
Dolphin
 
Back
Top Bottom