Usafiri wa basi kutoka Dar kwenda Uganda

Usafiri wa basi kutoka Dar kwenda Uganda

ndesangao

Senior Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
110
Reaction score
28
Naomba kuuliza kwa wazoefu..nauli ya kutoka Dar es salaam kwenda Uganda ni shilingi ngapi. Na ni bus gani zuri la kusafiria? na kwenda Uganda kunahitajika paspoti ya kusafiria au ni kitambulisho cha kawaida.
 
Kwa bus nafahamu Taqwa ila nauli yake siifahamu, lazima uwe na passport...

NI LAZIMA NA SIO OMBI...

Mkuu Money Stunna una idea yoyote kuhusu nauli???
 
Last edited by a moderator:
naomba kuuliza kwa wazoefu..nauli ya kutoka dar es salaam kwenda uganda ni shilingi?na ni bus gani zuri la kusafiria?na kwenda uganda kunahitajika paspoti ya kusafiria au ni kitambulisho cha kawaida?

passport lazima.miaka yangu nilikuwa nasafiri na akamba bus but siku hizi siioni.naona kuna bus inaitwa kampala coach but sijawahi kuitumia na sijui ina perform vipi.kama unataka kusafiri kwa njia rahisi na za mkato ambazo sometymz nilikuwa nazitumia.kwa sasa panda ndege oviously fastjet kwa bei nafuu,ukifika mwanza panda magari ya sirari.ni vizuri u cross border uingie upande wa kenya,lala hapo hisbania utapata mabasi mengi yanayoondoka alfajir kwenda kisumu.yanaanza kuondoka kuanzia saa 10 alfajiri.ukifika kisumu yako magari mengi sana anya tym kwenda uganda,unaweza kwenda hadi boda then ukapanda ya sehemu unakotaka kwenda.otherwise kuanzia mwezi huu katikati kutakuwa na fastjet kuelekea entebe.bei inaanzia elfu 80 ukiongeza na kodi inafika laki na sitini.
 
passport lazima.miaka yangu nilikuwa nasafiri na akamba bus but siku hizi siioni.naona kuna bus inaitwa kampala coach but sijawahi kuitumia na sijui ina perform vipi.kama unataka kusafiri kwa njia rahisi na za mkato ambazo sometymz nilikuwa nazitumia.kwa sasa panda ndege oviously fastjet kwa bei nafuu,ukifika mwanza panda magari ya sirari.ni vizuri u cross border uingie upande wa kenya,lala hapo hisbania utapata mabasi mengi yanayoondoka alfajir kwenda kisumu.yanaanza kuondoka kuanzia saa 10 alfajiri.ukifika kisumu yako magari mengi sana anya tym kwenda uganda,unaweza kwenda hadi boda then ukapanda ya sehemu unakotaka kwenda.otherwise kuanzia mwezi huu katikati kutakuwa na fastjet kuelekea entebe.bei inaanzia elfu 80 ukiongeza na kodi inafika laki na sitini.

Mkuu kama atachagua usafiri wa ndege mpaka Mza atapata mabas ya Friends toka Mza mpaka Kampala bila wasi wasi na ni usafiri wa uhakika. Mabasi yao ni mazuri... Hana haja ya kupita Kenya kama atafika Mza..
 
Nauli ni kama 110,000/= one way toka Dar mpaka Kampala na kama una uhakika wa kwenda na kurudi ni bora ukakatia tiketi zote toka pande hii ya huku kwetu Dar coz:
1: Nauli upande wa uganda bei zao ziko juu kwa hiyo utapata usumbufu kwenye exchange rate ingawa hela yetu iko juu ya shillingi ya Uganda
2: Kunakuwaga na traffic jam ya wasafiri wanaorudi toka Ug kuja Dar so waeza jikosea basi kama masihara ikaku inconvenience safari nzima ujikute unakaa kungojea basi.

Otherwise kama utakuwa open minded kutumia different route wakati wa kurudi unaweza usipate tabu sana koz unaweza rudi kwa kupitia Bukoba, Mwanza au Nairobi.

Karibu
 
Mkuu kama atachagua usafiri wa ndege mpaka Mza atapata mabas ya Friends toka Mza mpaka Kampala bila wasi wasi na ni usafiri wa uhakika. Mabasi yao ni mazuri... Hana haja ya kupita Kenya kama atafika Mza..

Kama unataka kujua geograph, chukua basi mpaka mwanza then utapata mabasi ya friends ambayo yanatoa huduma ya kila siku to Kampala.
 
TAQWA inakwenda direct Dar....KLA
SPIDER linakwenda mpaka NBO the ukifika NBO unachukua SPIDER jengine la NBO .KLA ila nauli unalipa yote huku Dar. Nauli ni Laki mpaka laki na ishirini. Karibu KLA ule Matooke. ukifika tu ni beep niko jirani na mzee wa Rwakitura.
 
Mkuu kama atachagua usafiri wa ndege mpaka Mza atapata mabas ya Friends toka Mza mpaka Kampala bila wasi wasi na ni usafiri wa uhakika. Mabasi yao ni mazuri... Hana haja ya kupita Kenya kama atafika Mza..


anaweza kufanya hivyo,but mukungu what i hate most is the time used for the journey.ukiondokea hapa dar kwa bus,uitafute nairobi then usiku kucha uko kwa njia hadi kesho yake mchana,naona shida sana.imagine ulipe laki na kumi then ukae karibu masaa 36 hadi 40 njiani.mi nashauri ni bora awahi tiketi za fastjet zikiwa bado ziko cheap.kuliko kulipa laki na kumi ni bora aongeze elf 50,apande ndege mpaka entebbe then atajiongeza aendako kutokea entebbe.cjui hayo mabasi kutokea mwanza yanapita route gani,kwani wakati wangu hata nilipokuwa nikiondokea mwanza nilikuwa napanda akamba inaondoka saa saba mchana kupitia kericho.
 
Kwanza nakushauri upitie Boda ya Mutukula na usiingilie Kenya kufika Kampala kwani utapata usumbufu, Pass ya kusafiria ni muhim sana kwani itakusaidia wakati wa kuingia Uganda na kutoka
 
Mkuu kama atachagua usafiri wa ndege mpaka Mza atapata mabas ya Friends toka Mza mpaka Kampala bila wasi wasi na ni usafiri wa uhakika. Mabasi yao ni mazuri... Hana haja ya kupita Kenya kama atafika Mza..

Hata mimi nilitaka kumshauri hivyohivyo ni afadhali apande mabasi ya friends kutoka hapo mwanza then kampala kuliko kuzunguka mara nairobi, kisumu sijui wapi tena mzunguko unakuwa mrefu. Au pia anaweza akapanda dar bukoba then akapanda hayohayo mabasi ya friends mpaka kampala. Hiyo ya nrb ni ndefu zaidi.
 
Pili kampuni zinazotoka Dar moja kwa moja Kampala na ambazo hupendwa na watu wengi ni Falcon na Taqwa na nauli yake ni shilingi laki moja ukikata tiketi ya moja kwa moja lakini waweza kata ya Bukoba kwenye magari hayo hayo ambapo itakua shilingi za kitanzania 55 au 60 elfu na mkifika Bukoba unawalipa elfu 20 za kitanzania kutoka Bukoba hadi Kampala
 
Kutoka Mwanza mpaka Kampala ni bei gani ? na Dar Mwanza ni bei gani ?
 
anaweza kufanya hivyo,but mukungu what i hate most is the time used for the journey.ukiondokea hapa dar kwa bus,uitafute nairobi then usiku kucha uko kwa njia hadi kesho yake mchana,naona shida sana.imagine ulipe laki na kumi then ukae karibu masaa 36 hadi 40 njiani.mi nashauri ni bora awahi tiketi za fastjet zikiwa bado ziko cheap.kuliko kulipa laki na kumi ni bora aongeze elf 50,apande ndege mpaka entebbe then atajiongeza aendako kutokea entebbe.cjui hayo mabasi kutokea mwanza yanapita route gani,kwani wakati wangu hata nilipokuwa nikiondokea mwanza nilikuwa napanda akamba inaondoka saa saba mchana kupitia kericho.

Mkuu yanapitia Geita, Katoro mpaka Bukoba kisha yacross border to Uganda. Hii route si ya muda mrefu sana nahisi kama 2yrs back.....
 
Usafiri wa basi kutoka Mwanza hadi Kampala ni shilingi 45000 za kitanzania na kutoka Bukoba Hadi Kampala ni shilingi 18000 hadi 20000 elfu za kitanzania na kutoka Kahama hadi Kampala ni 35000 elfu za kitanzania
 
Kutoka Uganda hadi Juba unaweza safiri na mabasi ya Simba Coach nauli ni 55000 elfu za kiganda, nashauri kusafiri kwa basi kwani Uganda Air siku hizi haipo ambayo ilikua bei kuanzia Dolla 200 hadi 350 na hivo siku hizi waweza safiri hadi kwa dolla 350 hadi 600 kutoka Dar hadi Entebe kwa mashirika ya Rwanda Air au KenyaAirWays hivo afadhali basi kwani ni gharama kidogo thoug kama unaanzia safari Dar utalala njiani siku moja lakini kwa wale wa kutokea Mwanza, Geita ,Bukoba na Kahama hawalali njiani kama magari yasipopata matatizo
 
Kwa watakao kua na Shida ya kusafiri mni Pm nitawatumia namba za wahudumu wa mabasi ya Falcon na Friends ili muwasiliane nao kwa maelekezo zaidi
 
Mara Nyingi mimi nilikuwa nikisafiri kwa meli kutokea Mwanza hadi bukoba Inafika asubuhi ya siku inayofuata napanda bus la Friends asubuhi hiyohiyo tokea bukoba saa 8 mchana nafika kampala. Ilikuwa Mwaka jana mwanzoni friends walikuwa hawajaanza route ya moja kwa moja tokea Mwanza to KLA ila nimeona ticket za fastjet pia ziko cheap from dar to entebbe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom