Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,587
- 1,855
Heshima wakuu natarajia kusafiri kwenda Lindi mjini wiki ijayo kutokea Dar es Salaam hivyo basi nilikua nauliza kama kuna yoyote anayefaham mabasi mazuri na pia muda yanayoondoka na sehemu ya kuyapandia kama ni ubungo au mbagala anijuze
pia hotel au lodge ya bei za wastani Lindi mjini asanteni
pia hotel au lodge ya bei za wastani Lindi mjini asanteni