luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 839
- 1,363
Wakubwa nimetoka ubungo hapa hali ni mbaya gari zimejaa na mimi lengo langu jumatatu niamkie Dodoma.. Tusaidiane kwa mwenye lolote, tutachangiana.
NB: Nipo mwenyewe tu na kibegi cha mgongoni.
Pm tafadhali..
NB: Nipo mwenyewe tu na kibegi cha mgongoni.
Pm tafadhali..