Usafiri gani unakufaa hapa?

doooh hapa sasa zile baiskeli zetu za mbao zingefaaga sana aisee....! I miss them good old days~
 
Barabara kama hii unaweza kumaliza speed bila kujijua..unateleza tu...
 
guta hapo napiga pedeli kama sitaki vile
 
Aaah twin......au ile tulikuwa tunaiita beringi.........au kiserere.........

TBH pacha sikumbuki jina lake...kule mndenyi kwetu zilikuwa famous sana...afu kwenye miteremko...it was all safe hadi enzi magari yalipoanza kuja hadi mndenyi kwetu..tukakatazwa, hatukuacha...nikapata ajali baiskeli yangu iligongana na mandolini...tangu siku hiyo niliacha kuendesha.

sipati picha ndo nimeipata ile baiskeli hapa kwenye hii bara bara...my favourite car ni any AUDI brand..lakini....sijui kwa nini sikuwaza hilo kwanza...my first thought...BAISKELI YA MBAO!
 

Ha ha ha........twin bana.......
Mimi hapo sijui kwa nini niliwaza moja kwa moja kama ningepata LX........aisee.......ningekufwaa you know.........ule mlio wake tu mi wazimu juu...........
 
BWM Alpina 7series au Mercedes Benz Brabus tuned S-class.
 
Ha ha ha........twin bana.......
Mimi hapo sijui kwa nini niliwaza moja kwa moja kama ningepata LX........aisee.......ningekufwaa you know.........ule mlio wake tu mi wazimu juu...........

Are u talking of Land Cruiser LX?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…