Usafi wa vyoo taasisi za umma Dar

Usafi wa vyoo taasisi za umma Dar

Kiukweli watanzania kwa ujumla suala la choo ni kitu cha mwisho kabisa katika UJENZI, hata USAFI, hapa naorodhesha taasisi 6 za umma zenye angalau vyoo bora & safi katika jiji la Dar es Salaam.

1. Hospitali MWANANYAMALA...

Hapo kwenye hospital ya Mwananyamala, mkuu unaongopea umma! Nakushangaa hujaiweka hospital ya Lugalo!
 
Na stand ya daladala ya MAWASILIANO palikuwa si pachafu lakini vyoo eti viko matundu manne tu Kwa upande wa wanaume ..watu mpaka wanagongeana milango.. Sasa na hivi wamehamishia machinga pale sijui patakuwaje!
 
Kiukweli watanzania kwa ujumla suala la choo ni kitu cha mwisho kabisa katika UJENZI, hata USAFI, hapa naorodhesha taasisi 6 za umma zenye angalau vyoo bora & safi katika jiji la Dar es Salaam.


4. IMMIGRATION HQ Kurasini

Mh! Vyoo vipi umeenda wewe!?? Nimewahi kushinda hapo siku nzima nikifuatilia passport lakini sikuona choo kichafu mkuu! Naomba kuwatetea kwa hilo.
 
Mentor uwe unasoma kwa umakini Immigration HQ ni moja ya taasisi yenye vyoo safi nchini. Hakuna popote nimesema ni pachafu
 
Kiukweli watanzania kwa ujumla suala la choo ni kitu cha mwisho kabisa katika UJENZI, hata USAFI, hapa naorodhesha taasisi 6 za umma zenye angalau vyoo bora & safi katika jiji la Dar es Salaam.

1. Hospitali MWANANYAMALA...
Umesahau na choo cha mahakama ya kisutu yaan ni kichafu balaa.
 
pia vyoo vya kule tuliko zaliwa hasa wale wanao toka vijijini. tusipige tu kelele hapa wakati wazazi kule jijijini nyumba tuu.ni ya nyasi, choo hakina hata paa.

tubadilike
 
Taasisi ya umma ni sehemu inayohudumia jamii, katika misingi ya afya na usalama kabla hujafungua jengo la huduma ya jamii lazima uhakikishe kuwa kuna choo na maji, kuna maji ya kunywa salama (water fountain if possible) na vikombe vya watu kunywea (disposable cups), kuna viti salama vya watu kukalia wakati wanasubiri huduma, kuna hewa ya kutosha, madirisha yawe makubwa.

Kimoja katika hivyo kikipungua huduma zinasitishwa mpaka hali irejee kawaida. Kuweka jengo la huduma bila hivyo vitu ni uvunjaji wa haki za binadamu pamoja na sheria za afya na usalama.
 
Jambo hili ni la kupigiwa mfano kwa mataifa mengine kuja kujifunza kwetu kutokana na kuongoza kwa usafi wa vyoo vya umma. Hongera uongozi wa jiji la Dar-es-Salaam.
 
Ninauza pills kwa ajili ya vyoo, yaan kama choo chako kimejaa na kutoa harufu nakupa vidonge ambavyo ni microbial catalyst vinaenda kuongeza nguvu kwa bacteria uchafu wote unaliwa na harufu inakata.

Nimeshauza nyumba nyng tu. Nipm nakuja kuangalia choo chako nakupa ushauri bureeee na hata kama unashda choo kujaa mara kwa mara
 
afu nawashangaa sana watz wenzangu ambao bado wanajenga mashimo ya kinyes yaan septic tank and soakway pit,wakat saiv mambo yanaweza kuisha bila hayo madude tena kwa gharama ya chini na space ndogo tu.
 
Watanzania na usafi wa vyoo ni tatizo kubwa sana. Wahanga wakubwa wakiwa wale wanaoishi pembezoni mwa bahari na ziwani. Wao hujisetiri humo kwenye maji
 
Taasisi ina majengo mazuri,wafanyakazi wanavaa vizuri wanapendeza hicho choo wanachotumia
hakiendani na hazi +uvaaje wao.
 
suala la usafi wa vyoo ni kwa watanzania wote, hasa vyuo vikuu nakumbuka pale UDSM Hall 7 watu walikuwa wanajisaidia chooni kwa kusimama juu ya sinki huku ametandika gazeti MZALENDO ama DAILY NEWS (Ukubwa wake unatosha kupokea kinye.si hata kiwe kingi vipi.
Na ha na lazima uwe na timing lasivyo maji yanakurukia. Baada ya hapo ni pum.b.u erosion
 
Back
Top Bottom