101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,057
- 2,244
Habari wakuu Imekuwa wikiendi tulivu na yenye rasharasha za hapa na pale za mvua
Twende Kwenye dhumuni la hii thread
Kwa muda sasa takribani miezi miwili nimekuwa nikifuatilia usafi wa sukari ninayoitumia hapa nyumbani
Nilijilidhisha na mazingira tunayohifadhia sukari kwa hapa nyumbani ila sijaridhishwa na jinsi sukari inavyohifadhiwa madukani,supermarket na hata Kwenye magodown huko viwandani kwa nionavyo Mimi usafi katika maeneo hayo tajwa hapo juu ni tatatizo na kupelekea Mimi mtumiaji wa mwisho kuwa na maswali mengi sana mpaka kufikia kujiuliza labda sukari tunayoinunua humu madukani kuwa imechakachuliwa,yenye ubora wa mwisho au labda ni makapi.
Haya yote yanakuja baada ya kugundua kuwa Mara nyingi ninapokoroga sukari Kwenye chai katika kikombe na kunywa Kuna vichembe chembe na takataka ambazo haziyayuki hata iweje labda Unaweza jiuliza kuwa ni kwa sababu ya majani ya ila sikweli maana Mimi huwa natumia tea bags na si rahisi kuweka chembe chembe za majani ya chai kutokana na uchunguzi nilioufanya.
Jambo hili linanipa ukakasi sana katika afya yanga au zetu Sisi walaji na watumiaji wa mwisho wa bidhaa hii
Sijajua watumiaji wengine humu JF kama mshakutana na kadhia hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende Kwenye dhumuni la hii thread
Kwa muda sasa takribani miezi miwili nimekuwa nikifuatilia usafi wa sukari ninayoitumia hapa nyumbani
Nilijilidhisha na mazingira tunayohifadhia sukari kwa hapa nyumbani ila sijaridhishwa na jinsi sukari inavyohifadhiwa madukani,supermarket na hata Kwenye magodown huko viwandani kwa nionavyo Mimi usafi katika maeneo hayo tajwa hapo juu ni tatatizo na kupelekea Mimi mtumiaji wa mwisho kuwa na maswali mengi sana mpaka kufikia kujiuliza labda sukari tunayoinunua humu madukani kuwa imechakachuliwa,yenye ubora wa mwisho au labda ni makapi.
Haya yote yanakuja baada ya kugundua kuwa Mara nyingi ninapokoroga sukari Kwenye chai katika kikombe na kunywa Kuna vichembe chembe na takataka ambazo haziyayuki hata iweje labda Unaweza jiuliza kuwa ni kwa sababu ya majani ya ila sikweli maana Mimi huwa natumia tea bags na si rahisi kuweka chembe chembe za majani ya chai kutokana na uchunguzi nilioufanya.
Jambo hili linanipa ukakasi sana katika afya yanga au zetu Sisi walaji na watumiaji wa mwisho wa bidhaa hii
Sijajua watumiaji wengine humu JF kama mshakutana na kadhia hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
