Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 944
- 1,271
Kweli mkuu, hasa hawa vijana wanaoelekea sehemu za masoko kama karume, kariakoo nk. aisee usiombe upate bahati ya kusimama kando yake halafu basi limejaa.kwa Dar hata abiria wennyewe wachafu- hasa wanaume vijana wengi asubuhi hunuka vikwapa hawaogi!!!!