Makonda unajitahidi na mambo mengi, madawati kwa wanafunzi, usafi, n.k.
Ushauri: Leo unawashirikisha wakaazi wa Dar es Salaam kufanya usafi kwa mfumo wa uhamasishaji na kampeni, ili mpango huu wa usafi uwe sustainable lazima pawepo program maalumu ambayo ina mambo yafuatayo: Eneo, Wahusika, shughuli, Gharama, na deliverables.
Kwa kushirikiana na mamlaka ya jiji panaweza kuanzishwa kodi maalumu ya cabbage collection ambayo itakuwa inalipwa na na kila mkaazi Household, business premises, viwanda, taasisi mbali mbali kwa viwango maalumu. Kodi hii iwe monitored na wakaazi wenyewe wa mtaa husika.
Wananchi waelimishwe waunde vikundi vya kufanya usafi ambavyo vitafanyiwa mafunzo na kila manispaa kuhusu Waste Management Program... ambayo itahusisha waste identification, waste collection, and methods of disposal.Vikundi hivi vitalipwa na mfuko huu maalumu kutoka kwenye ada za kila mtaa.
Unaweza kuonekana ni mpango mrefu na mgumu lakini unaweza ukawa suluhisho