mkongongojo
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 245
- 156
Zoezi la kusimamia usafi jijini linachangamoto zake
1. Vyombo vya kuwekea taka sehemu zingine hakuna na kama vipo Ni vichache.
2. Hao maaskari mgambo wanafanya kazi kwa kutumia nguvu baada ya kuelimisha wadau.
3. Wanalazimisha watu walipe faini tu hata pingine kumuelimisha mtu afanye nini. Ila kinachoonekana mgambo wapate kipato.
4. Kuna wakati wanatishia wananchi na kutoa maneno makali
5. Makaazi mengi ya jiji la Dar yamejegwa ovyo bila mpangilio Hilo nalo linafanya usafi kufanyika unakuwa mgumu.
Ushauri wangu
1. Tujihakikishie kwamba taka zilikusanywa sehemu zinaondolewa.
2. Elimu itolewe il wadau wajue nini wafanye.
3. Vipo vitendea kazi vya kutosha ili taka zisikae muda mrefu.
4. Washirikishwe viongozi wa mtaa ili isipatikane nafasi kwa vibaka kupata mwanya wa kufanya maovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Vyombo vya kuwekea taka sehemu zingine hakuna na kama vipo Ni vichache.
2. Hao maaskari mgambo wanafanya kazi kwa kutumia nguvu baada ya kuelimisha wadau.
3. Wanalazimisha watu walipe faini tu hata pingine kumuelimisha mtu afanye nini. Ila kinachoonekana mgambo wapate kipato.
4. Kuna wakati wanatishia wananchi na kutoa maneno makali
5. Makaazi mengi ya jiji la Dar yamejegwa ovyo bila mpangilio Hilo nalo linafanya usafi kufanyika unakuwa mgumu.
Ushauri wangu
1. Tujihakikishie kwamba taka zilikusanywa sehemu zinaondolewa.
2. Elimu itolewe il wadau wajue nini wafanye.
3. Vipo vitendea kazi vya kutosha ili taka zisikae muda mrefu.
4. Washirikishwe viongozi wa mtaa ili isipatikane nafasi kwa vibaka kupata mwanya wa kufanya maovu.
Sent using Jamii Forums mobile app