Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
ha ha ha,mi sijasema hiyo silaha haipo,nachosema sio ya HATARI Sana kama mleta uzi alivotaka kutuaminisha,pia imewekwa hapo persian gulf kukabiliana na drone za iran ambazo zilikua zina monitor kila manowari ya marekani iliyokua ikiingia hapo gulf