US warned India that MiG-29s and Su-30s wouldn’t help against China

Wamarekani bwana wote India na China wanatumia silaha za kirusi either wanazalisha wenyewe kwa kibali maalum au wamezinunua kutoka Russia eg India ana ndege Kama su 30 wakati China ana jf 11 coppy ya su 27,
India ana mig 29 na China nao wanazo bila shaka.
China ana su 35 ambayo pengine no advanced zaidi kuliko su 30 . Na unaambiwa katika dog fight ukiwa na ndege Kama su 35, su 27, su 30 skills za pilot ni za muhimu zaidi koz hizi ndege zote ni za kizazi Cha nne. So Huwa na sifa zinazokaribiana Sana.
Kwa hivyo Basi rubani asiye skilled ni rahisi kudondoshwa na rubani skilled wa kwenye ndege hata ya kizazi Cha tatu eg rejea katika operation ya NATO dhidi ya Iraq 1991 ndege ya kizazi Cha nne ya Marekani g 18 ilishushwa kirahisi na rubani wa kiiraq akiwa na mig 25 ndege ya kizazi Cha tatu.
Sasa je Mmarekani anaaminije kwamba India itafeli kirahisi
Dhidi ya China?
Mchina yuko more advanced kuliko india,
Cheki huyu mdudu,made in china,
IMG_20200615_235845.jpg
 
Hii SU30 flanker ni supermanuervable ,air superiority with ground attack capability,
Inatumika na Russia,india,china,uganda,venezuela na vietnam,,
Hii ikifanya kazi na mig29 interceptor,timu inakuwa imetimia kwa kufanya air patrol
Sasa Kama wote Wana silaha kutoka kwa baba mmoja Mmarekani anawazia nni aache watu watishane but hawatapigana
 
Mchina yuko more advanced kuliko india,
Cheki huyu mdudu,made in china,
View attachment 1486471
Hizo ni ndege ya usafirishaji hapa tinazungumzia combat air craft,
Kama madege mfanowe India analo Hilo liitwalo ilyushin 76.
Pia Kuna ilyushin 78 iko Pakistan ni kubwa zaidi hubeba hata helicopter .. rejea wiki Jana Pakistan waliletewa helicopter 2 kutoka us by il 78.
So ndege hiyo ni ya kawaida
 
Hizo ni ndege ya usafirishaji hapa tinazungumzia combat air craft,
Kama madege mfanowe India analo Hilo liitwalo ilyushin 76.
Pia Kuna ilyushin 78 iko Pakistan ni kubwa zaidi hubeba hata helicopter .. rejea wiki Jana Pakistan waliletewa helicopter 2 kutoka us by il 78.
So ndege hiyo ni ya kawaida
Yes hiyo ni transporter,made in china,,combart aircraft nakuletea J20 mida.
 
Kumbe wahindi nao wababe,mbona hawa walioko huku wanonekana waoga waoga sana...?
 
Sidhani Kama hii ni stealth Kama wachina wanavyotuaminisha. Mwaka 2017 India waliintercept katika moja ya mipaka yao na china
Nahisi ndege kua intercepted haimaanishi kwamba sio stealth bali ni ukiwaji wa Tech ndio unapelekea yote hYa


Nipo tayar kusahihishwa.....
 
India hutumia ndege za mrusi,sio mmarekani,,sasa wamerekani hilo soko wanalitolea udenda ndo maana wanapinda ndege za mrusi
Ndege za Russia huwezi kulinganisha na za Marekani hilo liko wazi, anayebisha ni ushabiki tu na mwisho anaweza hata akadai kuwa za North Korea na Iran pia ni nzuri kuliko za Marekani na wala haishangazi.
 
Hi tech us fighters ndo zipi ambazo India Hawawezi kununua?
Kwa taarifA tu NI kwamba karibu silaha zote zilizo katika ghala za silaha za India ni za kirusi na Kisovieti.
Halafu silaha za kimarekani haziuzwi ovyoovyo kwa kila mwenye pesa Kama ilivyo India!
Unajua kwanini wamarekani hufanya hivi NI hivi , ili kuepusha silaha za technolojia ya juu kuangukia mikononi mwa adversary powers...
Na hili ni rahisi Sana kwà nchi Kama India kushindwa kulinda hili coz India ni rafiki mkubwa wa Urusi.
Tofauti na US, Russia amefeli kulinda Hili kuanzia cold war mpaka Leo..
Russia na njaa kali hiyo aliyonayo atawezaje kulinda soko wakati anategemea auze silaha ndio hayo mapato atumie ku-finance bajeti yake.
 
Ndege za Russia huwezi kulinganisha na za Marekani hilo liko wazi, anayebisha ni ushabiki tu na mwisho anaweza hata akadai kuwa za North Korea na Iran pia ni nzuri kuliko za Marekani na wala haishangazi.
Ni nzuri sababu zinapigiwa chapuo na media za west,,ukija kwa ground,ndege za russia zinapiga kazi kuliko za US,
Kwanza zinaweza kufanya mashambulizi mengi ndani ya saa 24 kuliko ndege za US
 
Ndege za Russia huwezi kulinganisha na za Marekani hilo liko wazi, anayebisha ni ushabiki tu na mwisho anaweza hata akadai kuwa za North Korea na Iran pia ni nzuri kuliko za Marekani na wala haishangazi.
Nzuri kama hizi seriea ha f5 zinazo anguka zenyewe kila uchwao

Jamaa wapigaji sana ila uzuri nikwamba wanajipiga wenyewe.....
 
Nahisi ndege kua intercepted haimaanishi kwamba sio stealth bali ni ukiwaji wa Tech ndio unapelekea yote hYa


Nipo tayar kusahihishwa.....
Unapokuwa katika stealth mode hutakiwi ku be intercepted by non stealth aircraft.
Japo kwa Warusi wameendelea kufanyia modernization ndege zao Kama su 35, na coming mig 35 ili kuhakikisha hazirafanikiwa kushambulia bila be detection ya location.
Lakini pia ndege za kizazi Cha nne znaweza kudect movement ya stealth ikiwa umbali unaokaribiana Sana..
But hata hivyo Sina uelewa wa kutosha Sana kuhusu stealth technology kwa ndege za marekani
 
Back
Top Bottom