Mama Yeyoo
Senior Member
- Mar 25, 2012
- 101
- 38
niko very comfortable na kiswahili, yaani point zinashuka tuu, hicho kidhungu kinanibana ! Lakini tunaenda sawa eti eeeh !
Nilivyosoma hii thread nikapata sura jinsi itakavyojibiwa kwa jazba...Ally Kombo nimependa busara zako ktk kutetea unachokiamini bila jazba...MY TAKE imani yenu pia ina wengi ambao hawaisomi kuran ipaasavyo na badala yake wanaishia kusilikiza upotoshaji unaofanywa na kutekelezwa ili kutimiza malengo tofauti ambayo hv nothing to do na imani na ndio maana inashia kuwafanya waogopwe hata kuwagusa kidogo kwa kuwa most are so volatile,insecure and they lash out ....trust me i have lived to know that...naamnini kuwa Mungu alituumba akatuthamini na kutupa CHOICE...angeweZa kutuumba wote tuabudu dini moja..lakini alituumba na kutuweka na kutupa nafasi ya kumfuata yeye at our own free will..it is sad pale badala ya kuelimishana kuhusu uzuri wa dini moja over nyingine kwa mujibu wa imani zetu eti tunaishia kuitana majina ya ajabu kabisa yaliyokosa ht chembe ya upendo...again take my like mkuu...