US embassy in Jerusalem

US embassy in Jerusalem

GreatSeal

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,785
Reaction score
3,095
Jumatatu ijayo wanaume (us) wanafungua ubalozi wao Jerusalem, all the way kutoka telvive, ulimwengu unashuhudia maamuzi ya trump ambae harudi nyuma akishafanya maamuzi, waarabu wanasimama wapi kwenye hili?
 
Very nice; very nice; very nice. Jerusalem Mji wa Bwana wa Majeshi. Wasiotahiriwa nao eti wanataka waumiliki Mji ule Mtakatifu! How? Machukizo mbele za Bwana aliyeziumba mbingu na nchi.
 
Si mchezo aisee,wanatekeleza wengine watafuata
 
Kuhamisha embassy kwenda Jerusalem hakubadili kitu, Wapalestima wapo na wataendelea kuwepo mpaka wapate haki zao. Israeli kabakia ni kupe tu ambae anaimaliza US kwa vita inavyopigana kwa ajili ya Israel na misaada mikubwa anayotoa kwa Israeli - taifa lililo laaniwa na ambalo limeahidiwa halitashi kwa Amani mpaka mwisho wa dunia sababu ya ubaya kwa binaadamu wenzao. Wamepata vipigo vikubwa kuanzia kwa farao, warumi , hitler n.k na kulia kilio cha mbwa maisha yao yote kudai kuwa wanaonewa. Lakini haya yote ndio wameandikiwa na laana zinaendelea.

Amerika inafilisika sababu ya ubabe na kushindwa kushindana na mataifa mengine kiuchumi - andalia hii video itakupa picha

 
Amani na iwe na Israel, atakaye ibariki anabarikiwa,
Naibariki Israel kwa jina la Yesu.
Jerusalem, Mji wa mfalme mkuu!!!
HALLELUJAH!!!
Pamoja sana Mkuu. Ni rahisi mbingu na nchi kupita kuliko Yerusalem kukoma kuwa Mji wa Bwana. Ni rahisi zaidi kwa atakaye kupewa Rumi yote, au Marekani yote, au Afrika yote kuliko Yerusalem kupokonywa kwa wateule. Bwana Mungu wa Mbinguni na alibariki neno lake. Amen.
 
Pamoja sana Mkuu. Ni rahisi mbingu na nchi kupita kuliko Yerusalem kukoma kuwa Mji wa Bwana. Ni rahisi zaidi kwa atakaye kupewa Rumi yote, au Marekani yote, au Afrika yote kuliko Yerusalem kupokonywa kwa wateule. Bwana Mungu wa Mbinguni na alibariki neno lake. Amen.
Bado waafrika tuna Karne nyingi sana kutoka gizani....
 
Pamoja sana Mkuu. Ni rahisi mbingu na nchi kupita kuliko Yerusalem kukoma kuwa Mji wa Bwana. Ni rahisi zaidi kwa atakaye kupewa Rumi yote, au Marekani yote, au Afrika yote kuliko Yerusalem kupokonywa kwa wateule. Bwana Mungu wa Mbinguni na alibariki neno lake. Amen.
Maneno ya ndan sana haya mkuu...haya hata ibilis akiyasikia hufumba macho manake ni makali kama sifongo
 
Pamoja sana Mkuu. Ni rahisi mbingu na nchi kupita kuliko Yerusalem kukoma kuwa Mji wa Bwana. Ni rahisi zaidi kwa atakaye kupewa Rumi yote, au Marekani yote, au Afrika yote kuliko Yerusalem kupokonywa kwa wateule. Bwana Mungu wa Mbinguni na alibariki neno lake. Amen.
Mbingu na nchi zitapita lakini neno halitarudi bure,analiangalia neno lake apate kulitimiza. Jerusalem, Jerusalem mwanangu hatimaye umejitambua.
 
Jumatatu ijayo wanaume (us) wanafungua ubalozi wao Jerusalem, all the way kutoka telvive, ulimwengu unashuhudia maamuzi ya trump ambae harudi nyuma akishafanya maamuzi, waarabu wanasimama wapi kwenye hili?
Mkuu inamaana wenye balozi tel Aviv ni wanawake! Umenichekesha sana leo.
Lazima unabii utimie.
 
Kuhamisha embassy kwenda Jerusalem hakubadili kitu, Wapalestima wapo na wataendelea kuwepo mpaka wapate haki zao. Israeli kabakia ni kupe tu ambae anaimaliza US kwa vita inavyopigana kwa ajili ya Israel na misaada mikubwa anayotoa kwa Israeli - taifa lililo laaniwa na ambalo limeahidiwa halitashi kwa Amani mpaka mwisho wa dunia sababu ya ubaya kwa binaadamu wenzao. Wamepata vipigo vikubwa kuanzia kwa farao, warumi , hitler n.k na kulia kilio cha mbwa maisha yao yote kudai kuwa wanaonewa. Lakini haya yote ndio wameandikiwa na laana zinaendelea.

Amerika inafilisika sababu ya ubabe na kushindwa kushindana na mataifa mengine kiuchumi - andalia hii video itakupa picha

Maoni yako na mawazo yako juu ya israel yanatokana na maandiko /mafundisho ya imani yako, na wengine pia wana mitizamo yao itoknayo na I'm ani yao. Vumilianeni tu, ila mwisho wa siku itajulikana
 
Back
Top Bottom