US bombers fly close to North Korea

Nilizani ya kuwa kazipeleka ndege zake ktk himaya ya wababe nkorea, kumbe ni karibu na mpaka wa NK. Kumbe USA ni tupu kabisa, alishaambiwaga ya kuwa andondoshe hata kokoto tu katika mchanga wa bw kim, hapo ndipo dunia itashuhudia nguvu halisia ya hermit empire
 
Gays speech
 
U.S mchape fasta fasta kiduku... unachelewa nn.. Do it now..!! Aaaarrrgghww
Hii vita sio kama unavyodhani... I guess US akilianzisha basi atapambana na NK, RUSSIA, IRAN PLUS CHINA kwani hao ni allies
 
Poyoyo kweli Wewe, hata Saddam mlimsifia hivi hivi, Leo yuko wapi?
China imeshamwokoa nani kijeshi na kiuchumi? Mugabe alipowekewa vikwazo akakimbilia China, je alipata nafuu?
Tatizo mmejaa ushabiki bila fact.
Wew unaweza kupigiwa mkeo hivi hivi unaona !
 
Unakosea sana ni hv
Mchina anaringia vitu vitatu vikubwa soko,cheap labour na capital
wala hamuhitaji marekani katika hili....ila marekani ndio anamuhitaji
mchina......ndio maana leo kutokana kuwa na cheap labour huko china marekani
viwanda vyake vingi amehamishia china ku minimise cost of production katika
swala zima la nguvukazi (man power)
 
"if the US was forced to defend itself or its allies"

mbona anamaneno ya kujihami sana....na kuwataja taja hao washirika wake, huyu jamaa muoga tu, maneno meeengi alafu hamna kitu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Vipi na ile manowari ya Urusi iliyogongana na meli ya mizigo mapema mwaka huu na ikazama, nayo ilidukuliwa nini?!.
 
Mmarekani atachapwa na itakiwa haibu.
Ukizingatia china anapiga jalamba akiwa upande wa Pyongyang.
Yani sijui unawaza nini,kabisa marekani apigwe na huyu mtoto...fikiria tena mkuu...marekani mtu mwingne
 
The greatest leaders i have ever seen don't threaten unless their ready to act I think Mr Trump is not yet ready to act
 
Mmarekani anaomba vikwanzo vya UN vifanye kazi zaidi ya hapo ni maombi ksb wote US, NK na allies wao hawataki vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…