Mzee kim halali yupo na binocular ana angalia juu ya anga ole wenu mpite tena amesema atamnyoga mtu atakaye kosea target maana yatatumwa makombora 30 kwa kila ndege moja huko ma ICBM yakiwa kwenye submarine !!Eti upepo kuwa pili pili lakini wewe! [emoji1]
Na hizi kauli zao za hivi karibuni hopefully hawatashtukiziana.
mkuu anga lote lipo ndani ya target ninakuhakikishia trump hatarudisha tena hizo ndege zake hapo maaana U.S. anazijuwa akili za kim akisema amesema akili za kim wajapan wanazijuwa aliwakimbiza asubuhi alfajiri wakaacha shughuli zao za Hawa na Adam bila muafaka na kukimbilia mashimoni Ze kokuyo, analijuwa hilo!! nikujulishe tu kuwa kwa sasa Kim hazira zake zipo kiwango cha mwisho zikipita tena ni vita rasimi!!!!!!
Aliziona na kuwaza na kuanza kuhesabu moja adi kumi pengine asinge hesabu Japan na south Korea zingekuwa historia muda huu Mkuu akituma mizigo 3 tu ya Hydrogen duh sijuwi km unajuwa hali itakuwa je!!Sasa km kiduku yupo fiti kwa nini hakuzidungua hizo bomber,nadhani walikuwa wanamuonesha wanaweza kuja angani kwake na kufanya lolote bila kizuizi
Tulia wewe mammalia kama unatabia ya kumtishia mumeo hapa umefika nyambafu weweI see how umelelewa kwa kumtusi kila mmoja, unamtukana kila mtu.. Ni muda mrefu umeachiwa, umemtukana sana Mh. Rais wetu JPM, muda mrefu.. Ww kwako ni matusi na unajiona beberu.. Ur time is near.. Nikiwa mwana CCM, kwa haya matusi yako for a long time, siwezi kukubali, and ur stupid habits must come to an END, i mean END..!! PUMBAVU mkubwa
Bla bla, blablabla bla, bla,US bombers have flown close to North Korea's east coast in a show of force, the Pentagon says.
The move is to demonstrate that President Donald Trump has a "range of military options to defeat any threat", spokeswoman Dana White said.
The US and North Korea have ramped up their rhetoric recently.
At the UN on Tuesday, Mr Trump said that he would "totally destroy" North Korea if the US was forced to defend itself or its allies.
Anazo anazo,nyimbo hizo mumeimba since 2050s kinachowazuia msilianzishe ni mini? Mtabweka sanaNani kakwambia NK yupo top ten kwa ubora wa kijeshi?!
Na akina India,Pakistan, UK, German, France wawe namba ngapi?!
Kama Marekani iliingia Pakistan na kujam rada zao na kumuua Osama bila Pakistan kujua sembuse NK. Then fananisha Pakistan na nk nadhan jibu unalo.
Hizo ICBM Marekani anayo mitambo ya kuzitungua kabla hata hazijafika hata Guam, jiulize NK ana mitambo ya kuzuia ICBMs za Marekani?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hali inazidi kuwa ya hatar sana, watu tunashindwa kujadili (critical analysis) tunafanya reporting na kubishana.
Leo NK imesema ipo tayar kwa vita na italipoa fight bomber za us hata kama zitakuwa nje ya air space yake. Hii vita hakuna taifa litakalo muunga mkono US na wakijua fika madhara yake kwa raia wao. Kama UK amemuunga mkono china kutumia njia ya kidepromacia kutatua huu mgogoro US atajikuta pekeyake. Sehem ambazo US alikuwa anapata msaada kwa marafik zake walikuwa wanajua udhaifu wa maeneo husika na walishambulia pasipo zuru nchi zao. Kwa NK hii ni tofaut sana. Babu anavuliwa nguo mchana kweupe kabisa
Mzee kim halali yupo na binocular ana angalia juu ya anga ole wenu mpite tena amesema atamnyoga mtu atakaye kosea target maana yatatumwa makombora 30 kwa kila ndege moja huko ma ICBM yakiwa kwenye submarine !!
Fundi wee acha tuu...mkuu anga lote lipo ndani ya target ninakuhakikishia trump hatarudisha tena hizo ndege zake hapo maaana U.S. anazijuwa akili za kim akisema amesema akili za kim wajapan wanazijuwa aliwakimbiza asubuhi alfajiri wakaacha shughuli zao za Hawa na Adam bila muafaka na kukimbilia mashimoni Ze kokuyo, analijuwa hilo!! nikujulishe tu kuwa kwa sasa Kim hazira zake zipo kiwango cha mwisho zikipita tena ni vita rasimi!!!!!!
hahahahaha ila macho yetu yanaona zaidi!!
kesi ya msingi hapa ni ipi wee jamaa una akili sana ungekwenda shule ungekuwa nesi!!I see how umelelewa kwa kumtusi kila mmoja, unamtukana kila mtu.. Ni muda mrefu umeachiwa, umemtukana sana Mh. Rais wetu JPM, muda mrefu.. Ww kwako ni matusi na unajiona beberu.. Ur time is near.. Nikiwa mwana CCM, kwa haya matusi yako for a long time, siwezi kukubali, and ur stupid habits must come to an END, i mean END..!! PUMBAVU mkubwa
Showing results 1 to 20 of 759Next >
- P
Post
US bombers fly close to North Korea
kama unavyochapwa na mumeo?
Post by: Precise Pangolin, 44 minutes ago in forum: International Forum- P
Post
Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali
Mkuu piga za uso hawa wafuasi wa dikteta
Post by: Precise Pangolin, Saturday at 5:38 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Kitengo cha fedha cha CHADEMA kinaaibisha Taifa
Tulia wewe mammalia unajiita daktari kumbe Ngariba eti ulikuwa unataka wale watoto waliopata ajali huko Arusha watibiwe mount meru ili upate ulaji...
Post by: Precise Pangolin, Saturday at 5:36 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Ukakasi mzito shambulizi la Tundu Antipass Lissu
Tulia na mumeo huko wewe mammalia usilete shombo za mapenzi hapa nyambaf
Post by: Precise Pangolin, Saturday at 5:33 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Lema inabidi aende shule ili atimize malengo
Vipi akirudi toka shule utakuwa unampa saburi?
Post by: Precise Pangolin, Friday at 12:29 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Mbowe: Jumla ya sh 204M za matibabu ya Lissu zimechangwa, aomba michango zaidi, aishutumu Serikali kuhusika na shambulio
Mkuu hawa jamaa wameshakuwa brainwash na dikteta hawaambiwi
Post by: Precise Pangolin, Friday at 12:28 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Mapinduzi ya Viwanda; Wazungu walianzaje na walifanikiwaje?
Huyu Mzungu wetu anafikiri viwanda vinakuja kwa kurusharusha mikono huku akiomba aombewe wakati uchumi una principle zake ambazo hazihitaji sala....
Post by: Precise Pangolin, Friday at 12:26 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite
Mmezoea kuua mnafikiri nyinyi mtaishi milele na dictator wenu walikuwepo wakina Hitler, Idd Amin, Bokassa na Mobutu sasa hivi wako wapi? ni swala...
Post by: Precise Pangolin, Friday at 12:19 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite
Nitahamia kwenye masaburi yako kwanza kabla sijaenda kenya
Post by: Precise Pangolin, Friday at 10:50 AM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Suala la Lissu: Serikali tumeisikia, sasa familia ichukue jukumu lake
Nyie jukumu lenu ni kuwakamata wale waliomdhuru kazi ya kulipia matibabu tuachieni acheni usanii au mlimdhuru ili mje mlipie ubani au matibabu...
Post by: Precise Pangolin, Friday at 4:24 AM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Je Mh.Mwigulu aruhusu maombi ya TL, pamoja na tshirts?
Kuna yule jaji mchumia tumbo anasema mahakama za dikteta ni huru kuliko za kenya
Post by: Precise Pangolin, Friday at 4:18 AM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Jaji Mkuu: Tusijifananishe na Kenya, Mahakama zetu zipo huru zaidi
Baada ya kuukosa ujaji mkuu unaanza kujielewa bado dikteta atakushika saburi ndio uanze kubwatuka vizuri
Post by: Precise Pangolin, Friday at 4:15 AM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Mgawanyo wa majukumu: Serikali watafuteni wasiojulikana, matibabu ya Lissu tuachieni sisi wananchi
Watumie hizo hela kuwatuma wa kina kinana kwenye matibabu india
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 10:07 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Baada ya Serikali kusema ipo tayari kulipia matibabu ya Lissu; Peter Msigwa, Godbless Lema na Mbowe wakosoa kauli hiyo
Naona mzee wa kizibao albadri inakunyoosha tulia hivyohivyo dawa iingie
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 9:53 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Baada ya Serikali kusema ipo tayari kulipia matibabu ya Lissu; Peter Msigwa, Godbless Lema na Mbowe wakosoa kauli hiyo
Mnajificha nyuma ya watu wanyonge huku mnawapiga risasi watetezi wao mtanyooka tuu
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 9:51 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Baada ya Serikali kusema ipo tayari kulipia matibabu ya Lissu; Peter Msigwa, Godbless Lema na Mbowe wakosoa kauli hiyo
Walikuwa wanafikiri anakufa sasa matumaini yao sasa yamepungua sana hata faru john keshaanza kuwa kama kichaa
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 9:50 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite
Kwahiyo mwingine anarusha mikono huku kuwa nchi imechezewa?
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 9:44 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite
Ndio Mkuu Nilivaa Tshirt ya pray for Lissu nikakamwatwa lakini waliokuwa wamevaa za pray for Dikteta walikuwa wanapita bila bugudha
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 8:17 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!
Mkuu rudisha ile avatar yako hii inatuchanganya almanusura niachie mitusi mkuu
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 8:16 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite
Kwani aliyesema ukutwa ujengwe si mzee wa kukurupuka au unajifanya hujui? alifanya study kabla ya kusema mwambie aende UN akatiririke kama wenzake...
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 8:13 PMin forum: Jukwaa la Siasa
Search Again
12345638
ForumsSearch
- WHO ARE WE?
JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. You are always welcome!
Read more...- WHERE ARE WE?
We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually. For anything related to this site please Contact us.
Contact Us Now...- DISCLAIMER
JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..
Read more...- FORUM RULES
JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you. You MUST read them and comply accordingly
Read more...- PRIVACY POLICY
We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. Read our Privacy Policy.
Proceed here...
Showing results 21 to 40 of 759Next >
- Forums
Post
Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite
Yani kusimama kwenye mstari ndio ukuta? hebu acheni usanii sisi tupo busy kumuombea Lissu
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 8:05 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite
Pumbafu ni wewe na mume wako pamoja na hilo dikteta lenu
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 7:17 PMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite
Nenda uganda ukapate history ya idd Amini au Ujerumani kwa Hittler au magogoni ukaonane nae
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 11:16 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite
Kwani inahitaji rocket science kujua nchi inaongozwa kidikteta?
Post by: Precise Pangolin, Thursday at 7:24 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Lini Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli atahutubia UN?
Nilitegemea Dr kama yeye angeweza kutiririka kuliko hata kenyatta ambaye sio Dr
Post by: Precise Pangolin, Wednesday at 9:56 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya ampongeza Rais Magufuli, amuita jembe
Huyu hana ubaguzi kama dikteta
Post by: Precise Pangolin, Wednesday at 4:25 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani
Kumbuka matatizo ya lissu yameletwa na nyinyi halafu unataka ahudumiwe na haohao walio mswaga risasi? hii laana haitowaacha
Post by: Precise Pangolin, Wednesday at 4:19 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Kauli za rais wa Tanzania na mtetezi wa wanyonge Dkt. Magufuli leo mkoa wa Manyara
Ni kawaida ya mauchwara kuonyesha yana huruma hata Idd amini alikuwa hivyohivyo
Post by: Precise Pangolin, Wednesday at 4:14 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite
Hapana Mkuu wanatuka serikali ya kidikteta
Post by: Precise Pangolin, Wednesday at 4:01 PM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite
Wale diaspora wanaojielewa sio wakina Nyani Ngabu ambao wamesha adhirika na harufu za vizee
Post by: Precise Pangolin, Wednesday at 10:57 AM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Siku ya 12 leo watu "wasiojulikana" waliotaka kupora maisha ya Tundu Lissu bado kupatikana!!!
Hii laana hatomuacha hata akikesha kanisani mwaka mzima
Post by: Precise Pangolin, Wednesday at 4:37 AM in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Tanzania haijulikani Duniani kiivyooo kama magazeti yetu yanavyoripoti eti Dunia nzima ni Tundu Lissu tu!
Ulikuwa unafikiri Lissu ni level ya polepole sio mtanyooka tu
Post by: Precise Pangolin, Tuesday at 10:35 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Mbunge wa Tarime John Heche kupeleka hoja binafsi muda wa Urais, Ubunge upunguzwe
Kwa Rais anatakiwa awe under brobation ya nusu mwaka akifail kama dikteta anatimuliwa
Post by: Precise Pangolin, Tuesday at 6:50 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Tanzania among top 10 Places to Invest in Africa 2018
Hii nchi dikteta ataigharimu sana ajifunze kwa wenzake sio kurusharusha mikono kama muimbisha kwaya
Post by: Precise Pangolin, Tuesday at 6:33 AMin forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Rais Dr. John Pombe Magufuli na mwendelezo wa kutokuhudhuria vikao vya Kimataifa nje ya nchi
Kujenga hoja hawezi zaidi ya kurusha mikono kama anajiandaa kupiga mbizi
Post by: Precise Pangolin, Sep 18, 2017 in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
Lissu kuchangingiwa matibabu na watanzania kutamfanya awe mzalendo mara mbili ya alivyo sasa
Yule anaetaka aombewe anakaimu nafasi ya idd Amini lakini anajificha kwenye neno wanyonge
Post by: Precise Pangolin, Sep 18, 2017 in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
CHADEMA 'mnazingua'
Huyu jamaa ukimpa kesi ya kuku tu hata kama ushaidi unatosheleza unaweza ukapigwa nyundo kama 30 kama mtu aliyebaka utafikiri umeiba wewe kumbe...
Post by: Precise Pangolin, Sep 18, 2017 in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
CHADEMA 'mnazingua'
Nenda kwenye forum za wajanja huko USA uone moto sio kuja kutishia hapa na kiingereza chako cha kuosha vidingi
Post by: Precise Pangolin, Sep 18, 2017 in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
CHADEMA 'mnazingua'
Badala ya kuandaa submission za mahakamani unakuja na vithread vinavyo fanana na jingalao
Post by: Precise Pangolin, Sep 18, 2017 in forum: Jukwaa la Siasa- P
Post
CHADEMA 'mnazingua'
Wewe naona umeanza kuzeeka vibaya tena sana wewe huoni mpaka Rais wenu wa TLS ameshambuliwa na risasi baada ya kuongelea ufisadi wa madini halafu...
Post by: Precise Pangolin, Sep 18, 2017 in forum: Jukwaa la Siasa
Search Again
12345638
ForumsSearch
- WHO ARE WE?
JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. You are always welcome!
Read more...- WHERE ARE WE?
We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually. For anything related to this site please Contact us.
Contact Us Now...- DISCLAIMER
JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..
Read more...- FORUM RULES
JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you. You MUST read them and comply accordingly
Read more...- PRIVACY POLICY
We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. Read our Privacy Policy.
Proceed here...
hahahahaha ila macho yetu yanaona zaidi!!
ole wenu mrudishe tena ndege zenu!!
Hahaaa!, lazima tuje kupima hali ya hewa kuona muda muafaka. .
Waziri wa mambo ya nje wa Korea Kaskazini amedai kwamba rais wa Marekani Donald Trump ametangaza vita dhidi ya taifa hilo wamesema.hatakama hamtakuwa kwenye anga a korea ya kasikazini wata wafuata huko huko kwenye anga la Japan au south duh mmeona sasa sijuwi kama mtarudi tena!!
Amesha tuma ujumbe wa barua U.N. na nchi kibao kwamba asilaumiwe kwa kile atakacho kifanya !!!Aseeh!, Fundi naona huyo Kim wenu anaitafuta vita kwa nguvu zote..
Sadam aliwai kuzindua kombora gan? Kim ni zaid ya hatari usimfananishe na mwaarabu yytePoyoyo kweli Wewe, hata Saddam mlimsifia hivi hivi, Leo yuko wapi?
China imeshamwokoa nani kijeshi na kiuchumi? Mugabe alipowekewa vikwazo akakimbilia China, je alipata nafuu?
Tatizo mmejaa ushabiki bila fact.