Mhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Mirsi wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
Kukandamiza democrasia ya wananchi kwa kuwashushia majjeshi na vifaru vya kuwaadhibu ndio ufanyaji mzuri wa viongozi huo kwa wananchi wao?? Hebu nenda ukatafute akili ulipoiangusha...Mhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Mirsi wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
Utawala huu,utaingiza nchi pasipojulikana.muda mfupi ujao tunapigwa "Economic sanction"Detaining opposition leaders is not the act of a government confident in its electoral victory. Maalim Seif and his colleagues should be released immediately.
Nadhani wakitoka huko wote watakuwa wanaumwa BAWASILINatamani hawa viongozi wetu wa utawala huu pamoja na CCM wakamatwe na "Mahakama Ya Jinai ya Kimataifa (ICC)", halafu wakafungwe magereza yenye "MABASHA NA WASENGE (HOMOSEXUAL) tupu huko The Hague.
Wamchukue na pascal mayala kwa uchochezi wa kiandishi nae, wampeleke huko.
Baada ya miaka 5 tu, waachiliwe warudi nchini, tuone mikono ilivyoregea kama Bobryski.